Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kundi zito kuliko lote ni Kataa Ndoa,
Ila vita ya single mother, ni nzito mwaya.
 
Pyramid scheme hizo kama Qnet na one coin hizo ziko nchi nzima sio dar tu
 
Huyo dawa nikumvizia siku unapata chumba kwake ukishamlipa zile za mwanzo fresh zikiisha mpaka akuitie balozi na wew unatakiwa kumzungusha
 
TISS hawakuoni kuwa umekamilika kila idara..? ebu wakufanyie mpango wa kazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Tathmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF

30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
Niko nyuma yako na magwanda yangu kukulinda maana najua watakuvamia vibaya hovyo
 
Q net huwa nakumbuka nacheka walivochemka kwangu ,kwanza walikula maswali mengi mengi mfulizo af ujuaji mwingi plus usela na elimu af na IQ ya moto balaa hyo ni MWENGE DARU SALAAM ,RAMADA hapo kifupi walichoka mana matapeli wakataka kutapeliwa mpaka wakahisi wako na tundu lissu..mwishon nawaambia boss anipe buku 5 nfate hzo hela mageto nije nwape. daaah hawajaaamini hadi muda huo ndo mara ya kwanza kufika dar. yaaan
 
 
Bila shaka ni QNET hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…