SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mshikaji leo katulia si unajua tena Ijumaa muamala umesomaNakuja huko tugombane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshikaji leo katulia si unajua tena Ijumaa muamala umesomaNakuja huko tugombane
Subiri nikampetipeti labda nitaambulia chochote kituMshikaji leo katulia si unajua tena Ijumaa muamala umesoma
Aaaah,usifanye hivyo AaliyyahSijaliwa na H mkuu nimeokoka nampenda Yesu
Alafu siwez kuwaletea story za kuliwa jf hata iweje haitokas itokee
Huu ni ukatili wa kijinsia kabisa lakini tutaheshimu maamuzi yako japo kwa shingo upande😅😅Ndio ukweli siwez story inayohus kuliwa
Unajua mabusu yetu Wazee ni tofauti na mabusu yenu Vijana 🤗Mbona ni busu tu Babu 😀😀
Hata wajukuu zako wanakuchum tu🤣🤣
Shkamoo,,sikua serious kiivo mpenz ila nimekuelewaTonatofautiana vipawa my love hatuwez fanana mm siwez kuwa wewe Wala huwez kuwa mm
Kwakuwa wewe huwez hiki haimaniishi na mm siwez au mwingine hawezi
by nature naweza elezea tukio Kwa kuandika kuliko kuzungumza Kuna anayewaza kuzungumza kuliko kuandika
Naweza soma kitabu Cha kurasa 100 Kwa masaa machache sana kilamtu kuna alivo
Inaweza kuwa wewe huwez au ni Zaid 🙏
Hahaha................hebu kwanza niletee Kiko yangu Mjukuu, huenda hii arosto imefanya niwe hivi 😜🤗😀😀😀Umezeeka vibaya wewe
Hapana maumivu yangu yalikuwa makubwa kuliko yake pia sikumlipiza ila sikuwa na hisia nae nduo sabbu