Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Mbona ni busu tu Babu πŸ˜€πŸ˜€
Hata wajukuu zako wanakuchum tu🀣🀣
Unajua mabusu yetu Wazee ni tofauti na mabusu yenu Vijana πŸ€—

Ngoja nisubiri mabusu ya Wajukuu wakati wa birthday yangu Mwezi ujao πŸ€—πŸ‹οΈπŸ‹οΈπŸ‹οΈ
 
Shkamoo,,sikua serious kiivo mpenz ila nimekuelewa
 
Nimeishia kubaki NIMEDUWAA TU kwamba epo la eden lilisalimika πŸ˜•πŸ˜¬πŸ˜‘
 
Unajua mabusu yetu Wazee ni tofauti na mabusu yenu Vijana πŸ€—

Ngoja nisubiri mabusu ya Wajukuu wakati wa birthday yangu Mwezi ujao πŸ€—πŸ‹οΈπŸ‹οΈπŸ‹οΈ
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Umezeeka vibaya wewe
 
Mbaga Jr uumtafti wewe na CCM inakutegemea mnoo.
Kwa udooogo tu tupe maoni yako kuhusu hii Mufindi.
Kona ya Urusi,
Ofisi Kuu ya Upekuzi,
Itigi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…