Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee, hivi hujui kuwa sisi wanaume hatupendi maswali ya hovyo???Mjomba anauliza kama umeona utakasirika eti ni faragha. Sio dalili za ushoga kweli hizo?
Sasa kuna faida gani kuwa sehemu ya ndugu na jamaa kama huwezi hata kushauriwa kwenye masuala common tu. Si umweleze sababu za wewe kutofanya hivyo?
yeah watu wa namna hii ni wale wanaosubiri anguko lako kwa hali na mali.Serios inakata sana, siku ukikutana na mke mbaya akianza kukuangusha huwa hawaji kukusaidia wanafurahi
yAan wew ndugu wa mama umeshawachukia sana,kainshu kadogo unakakuza sanaMimi na yeye nani shoga??? Yeye anatunzwa na dada yake mm naishi kwangu na familia yangu isipokuwa sijatambulisha familia yangu kwasababu ya kuchukia umbea
Ndugu yangu sisi wanaume tunapenda heshima sasa mjomba wako anapokuuliza maswali lakini akizungumza kama kukukosea heshima lazima uchukieyAan wew ndugu wa mama umeshawachukia sana,kainshu kadogo unakakuza sana
Lakin kwenye jamii zetu za kiafrika kuulizwa hvyo ni kawaidaNdugu yangu sisi wanaume tunapenda heshima sasa mjomba wako anapokuuliza maswali lakini akizungumza kama kukukosea heshima lazima uchukie
Mwanaume miaka 30 kumuuliza ameoa kwanza ni kumkosea heshima kwasababu tayari ni mtu mzima sasa kumuuliza hivyo nikanakwamba yeye hajitambui au ni zoba
Hawakumbuki kuwa kuna wanawake wanaangusha waume zao ndiyo maana wengine hawaulizi wanasema Allah amsaidie apate mke mwemaLakin kwenye jamii zetu za kiafrika kuulizwa hvyo ni kawaida
Kwa watu tulistarabika ndo tumeshagundua sio maswali mazur na hatupendi kuyauliza siku hz
Hapana ndugu yangu hayo mambo sina tatizo ni mtu anakukera kwa makusudi kwasababu tofauti labda kukuchukia ama lahNdugu yangu punguza ubinafsi.
Unaonekana Una visenti kiasi ndio maana ipo dhahir umejaa dharau na ujivuni.
Umeoa au unaishi na hawara?
Unaweza kuoa na mjomba wako kabisa asijue?
Kama ungeoa Kwa ndoa kabisa mjomba angejua tu.Hapana ndugu yangu hayo mambo sina tatizo ni mtu anakukera kwa makusudi kwasababu tofauti labda kukuchukia ama lah
Kuna kipindi kuna mshua aliniuliza "Naruhusiwa kukuuliza kuhusu habari za kuoa?"Kufanya hivyo amenikosea adabu kwasababu umri wangu sio mtu wa kuniuliza maswali hayo, afe na maisha yake na mimi ni deal na yangu chokochoko kwa wanaume hazifai, hayo maswali akaulize watoto wake
Hii familia yangu ndiyo chanzo cha mahusiano yangu mchumba wangu wa kwanza kuvunjika, ndiyo maana nilipompata huyu sikurudia tena kosa la kuwaelezaKama ungeoa Kwa ndoa kabisa mjomba angejua tu.
Safi sana watu kama hao ndio tunaoendanaKuna kipindi kuna mshua aliniuliza "Naruhusiwa kukuuliza kuhusu habari za kuoa?"
Nikamjibu hapana, huruhusiwi.
Issue ikaishia hapo hapo.
Angalau alikuwa na ustaarabu wa kuuliza kama anaruhusiwa kuuliza.
Anataka akufire barazuli mkubwa huyokwasababu dunia ya leo imeharibika sana wanaume wanaolewa
Nikisoma tu hapa naona wewe unashida kidogo. Wewe na mjomba Yako wote mnashida ya akili.Ndugu zangu kuishi Afrika lazima uweze kuvumilia kero za watu lasivyo patakushinda
Kero kubwa ya Afrika ni watu kutaka kujua siri zako na mambo binafsi yanayohusiana na faragha
Labda nianze kwa kujielezea kiasi, mimi ni baba wa watoto wawili wa kwanza ana miaka mitano wa pili miaka miwili ninaishi kwangu na mke na watoto
Mimi ni mtu ninayependa sana faragha na ni mtu ninayeheshimu kila mtu lakini kwa sharti moja, huwa sipotezi muda na siheshimu mtu yeyote asiyeniheshimu
Mimi ni mtu nisiyependa uchokozi wa aina yeyote na huwa sipendi kuchokozwa inapotokea reaction yangu inakuwa mbaya sana na mtu huyo anaweza kujuta kwa uamuzi nitakaochukua
Maisha yangu yapo katika faragha na huwa sipendi kabisa umbea kuwa na urafiki na mtu mwenye kidomodomo, mtu wa kusema mambo, kaulimbiu yangu utakachokiona hapa kiishie hapa hapa nisisikie kwa mtu
Baada ya kugundua tabia mbaya za ndugu zangu za midomo mirefu wamekuwa ni watu wasiofahamu maisha yangu kwao imekuwa ni fumbo
Mimi nina wajomba wanne, hawa wajomba wanne nawaheshimu sana tangu nazaliwa, hawa watatu kila mmoja ana maisha yake natangu niwafahamu hawajawahi kunikwaza wala sijawahi kuwakwaza
Huyu mmoja ana familia kijijini lakini anaishi mjini kwa dada yake
Kwa dada yake yupo yeye na mama yao ambaye ni bibi yangu pamoja na yeye. Dada yake alimpeleka kwake ili afanye kazi ana kama miaka 50
Huwa mara kwa mara ninapotembelea huo mkoa lazima nimsalimie dada yake ambaye ni mama mdogo wangu kwenye hiyo familia yao
Tangu zamani nikienda kwenye hiyo familia na chochote mkononi wanafurahi sana isipokuwa yeye anaishia kunikata jicho la wivu
Safari mbili za mwisho kwenda pale alinitazama vibaya sana kwa macho ya wivu
Nilipoondoka akathubutu kunipigia simu akiniuliza kama nimeoa,
Sikumjibu chochote kwasababu sipendi umbea nachukia sana maswali ya kimbea
Safari ya mwisho kwenda pale baada ya kuondoka akanipigia simu akanambia nizae watoto kwasababu dunia ya leo imeharibika sana wanaume wanaolewa
Baada ya maneno hayo machafu sikujibu
Nilipokata simu nikajiuliza huyu mtu mbona kama amekuwa wa hasidi katika maisha yangu?
Watu kuharibika inahusiana nini na maisha yangu?
Mke wangu ninayemuoa mimi kwa faida zangu anamhusu nini yeye?
Anayetunza mke wangu ni mimi au yeye?
Watoto wangu wanamuhusu nini mtu mwingine?
Mbona ni maisha yangu binafsi?
Mbona wanaume hatuna tabia za chokochoko?
Nikagundua huyu ni mtu wa chokochoko
Baada ya hapo nikamlima Block ya nguvu naendeleza urafiki na wale tunaoheshimiana
Anataka amfire mende mmojaHuyu atakuwa na shida kubwa kama sio ushoga
Yaan mleta uzi anaonekana wa kufirwa?NAKAZIA
Huenda huyu jamaa anaonekama delicious