Nilivunja urafiki na kumshushia heshima Mjomba wangu baada ya kugundua ni mtu mwenye tabia ya kuingilia faragha yangu

Nilivunja urafiki na kumshushia heshima Mjomba wangu baada ya kugundua ni mtu mwenye tabia ya kuingilia faragha yangu

Mjomba anauliza kama umeona utakasirika eti ni faragha. Sio dalili za ushoga kweli hizo?

Sasa kuna faida gani kuwa sehemu ya ndugu na jamaa kama huwezi hata kushauriwa kwenye masuala common tu. Si umweleze sababu za wewe kutofanya hivyo?
Asee, hivi hujui kuwa sisi wanaume hatupendi maswali ya hovyo???
 
yAan wew ndugu wa mama umeshawachukia sana,kainshu kadogo unakakuza sana
Ndugu yangu sisi wanaume tunapenda heshima sasa mjomba wako anapokuuliza maswali lakini akizungumza kama kukukosea heshima lazima uchukie
Mwanaume miaka 30 kumuuliza ameoa kwanza ni kumkosea heshima kwasababu tayari ni mtu mzima sasa kumuuliza hivyo nikanakwamba yeye hajitambui au ni zoba
 
Ndugu yangu sisi wanaume tunapenda heshima sasa mjomba wako anapokuuliza maswali lakini akizungumza kama kukukosea heshima lazima uchukie
Mwanaume miaka 30 kumuuliza ameoa kwanza ni kumkosea heshima kwasababu tayari ni mtu mzima sasa kumuuliza hivyo nikanakwamba yeye hajitambui au ni zoba
Lakin kwenye jamii zetu za kiafrika kuulizwa hvyo ni kawaida

Kwa watu tulistarabika ndo tumeshagundua sio maswali mazur na hatupendi kuyauliza siku hz
 
Ndugu yangu punguza ubinafsi.

Unaonekana Una visenti kiasi ndio maana ipo dhahir umejaa dharau na ujivuni.

Umeoa au unaishi na hawara?

Unaweza kuoa na mjomba wako kabisa asijue?
 
Ndugu yangu punguza ubinafsi.

Unaonekana Una visenti kiasi ndio maana ipo dhahir umejaa dharau na ujivuni.

Umeoa au unaishi na hawara?

Unaweza kuoa na mjomba wako kabisa asijue?
Hapana ndugu yangu hayo mambo sina tatizo ni mtu anakukera kwa makusudi kwasababu tofauti labda kukuchukia ama lah
 
Kufanya hivyo amenikosea adabu kwasababu umri wangu sio mtu wa kuniuliza maswali hayo, afe na maisha yake na mimi ni deal na yangu chokochoko kwa wanaume hazifai, hayo maswali akaulize watoto wake
Kuna kipindi kuna mshua aliniuliza "Naruhusiwa kukuuliza kuhusu habari za kuoa?"

Nikamjibu hapana, huruhusiwi.

Issue ikaishia hapo hapo.

Angalau alikuwa na ustaarabu wa kuuliza kama anaruhusiwa kuuliza.
 
Kama ungeoa Kwa ndoa kabisa mjomba angejua tu.
Hii familia yangu ndiyo chanzo cha mahusiano yangu mchumba wangu wa kwanza kuvunjika, ndiyo maana nilipompata huyu sikurudia tena kosa la kuwaeleza
Mchumba wangu wa kwanza walimsengenya akaumia sana wakidai mzazi wake mmoja ni dini nyingine yule dada akaumia sana
 
Kuna kipindi kuna mshua aliniuliza "Naruhusiwa kukuuliza kuhusu habari za kuoa?"

Nikamjibu hapana, huruhusiwi.

Issue ikaishia hapo hapo.

Angalau alikuwa na ustaarabu wa kuuliza kama anaruhusiwa kuuliza.
Safi sana watu kama hao ndio tunaoendana
 
Ndugu zangu kuishi Afrika lazima uweze kuvumilia kero za watu lasivyo patakushinda
Kero kubwa ya Afrika ni watu kutaka kujua siri zako na mambo binafsi yanayohusiana na faragha

Labda nianze kwa kujielezea kiasi, mimi ni baba wa watoto wawili wa kwanza ana miaka mitano wa pili miaka miwili ninaishi kwangu na mke na watoto

Mimi ni mtu ninayependa sana faragha na ni mtu ninayeheshimu kila mtu lakini kwa sharti moja, huwa sipotezi muda na siheshimu mtu yeyote asiyeniheshimu

Mimi ni mtu nisiyependa uchokozi wa aina yeyote na huwa sipendi kuchokozwa inapotokea reaction yangu inakuwa mbaya sana na mtu huyo anaweza kujuta kwa uamuzi nitakaochukua

Maisha yangu yapo katika faragha na huwa sipendi kabisa umbea kuwa na urafiki na mtu mwenye kidomodomo, mtu wa kusema mambo, kaulimbiu yangu utakachokiona hapa kiishie hapa hapa nisisikie kwa mtu

Baada ya kugundua tabia mbaya za ndugu zangu za midomo mirefu wamekuwa ni watu wasiofahamu maisha yangu kwao imekuwa ni fumbo

Mimi nina wajomba wanne, hawa wajomba wanne nawaheshimu sana tangu nazaliwa, hawa watatu kila mmoja ana maisha yake natangu niwafahamu hawajawahi kunikwaza wala sijawahi kuwakwaza

Huyu mmoja ana familia kijijini lakini anaishi mjini kwa dada yake
Kwa dada yake yupo yeye na mama yao ambaye ni bibi yangu pamoja na yeye. Dada yake alimpeleka kwake ili afanye kazi ana kama miaka 50

Huwa mara kwa mara ninapotembelea huo mkoa lazima nimsalimie dada yake ambaye ni mama mdogo wangu kwenye hiyo familia yao

Tangu zamani nikienda kwenye hiyo familia na chochote mkononi wanafurahi sana isipokuwa yeye anaishia kunikata jicho la wivu

Safari mbili za mwisho kwenda pale alinitazama vibaya sana kwa macho ya wivu
Nilipoondoka akathubutu kunipigia simu akiniuliza kama nimeoa,
Sikumjibu chochote kwasababu sipendi umbea nachukia sana maswali ya kimbea

Safari ya mwisho kwenda pale baada ya kuondoka akanipigia simu akanambia nizae watoto kwasababu dunia ya leo imeharibika sana wanaume wanaolewa
Baada ya maneno hayo machafu sikujibu

Nilipokata simu nikajiuliza huyu mtu mbona kama amekuwa wa hasidi katika maisha yangu?
Watu kuharibika inahusiana nini na maisha yangu?
Mke wangu ninayemuoa mimi kwa faida zangu anamhusu nini yeye?
Anayetunza mke wangu ni mimi au yeye?
Watoto wangu wanamuhusu nini mtu mwingine?
Mbona ni maisha yangu binafsi?
Mbona wanaume hatuna tabia za chokochoko?

Nikagundua huyu ni mtu wa chokochoko

Baada ya hapo nikamlima Block ya nguvu naendeleza urafiki na wale tunaoheshimiana
Nikisoma tu hapa naona wewe unashida kidogo. Wewe na mjomba Yako wote mnashida ya akili.

Sijaona swali lolote hapo la kumblock mtu. Lambda kama alikuwa anakuchana ukweli ndio maana ukaamua kumpiga block.
 
Back
Top Bottom