Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

Anajua anapteza kitu cha thamani na yaeza kuwa mume alimkosea mke!
 
Mke akirudi Wanapima ngoma Kwanza au wanaliendeleza hivyo hivyo?
 
Mke akirudi Wanapima ngoma Kwanza au wanaliendeleza hivyo hivyo?
Hilo sina uhakika nalo ila nijuavyo akirudi hakuna hata ugomvi unaotokea na wanaishi kama halikutokea jambo. Anaebaki kuumia ni mwanaume
 
Na hukumlilia hata mmoja!?
Acha kutupanga bwana, sema ukweli wako.
Wale wandere walinitenga na jamaa zangu....

Wale wandere wakanifanya weekend kutwa nishinde nao ndani...

Na mengine mengi ila sikufika kiwango cha kihobobo kuwalilia kwa kuwasotea magoti kama huyo mwamba [emoji1787]
 
Exquisite [emoji2956][emoji109]
 
.....na ndio maana bila ya mwanaume kutokuwa na moyo mkuu na wa subira matokeo ni KUJIPOTEZA wewe na malengo yako...

Sasa wanaume wengi tuna ufahamu huo...unaanzaje kulia na kumpigia magoti mwanamke...mbususu tu ?!! Mhhh hapo kuna namna [emoji1787]
 
Wakati nipo mdogo niliwahi kushuhudia kwa kumchungulia chumbani jamaa akimlilia demu wake kuwa anamtesa!!!, yani kilio kabisa mixer kwikwi na demu anamkalisha kwa maneno ya karaha kabisa , mwishowe demu akamuamuru jamaa afute machozi ili amsamehe, na kweli yakaisha ! Mwamba alikuwa mbabe haswa na kijiji kizima tulikuwa tunamuogopa !!!

Never underestimate power of papuchi !! That's all i can say.
 
Daaah maskini
 
Kwa style hiii acha wanawake watutese tuu..
 
Umewaza uchawi lakini mapenzi ni zaidi ya uchawi na nyumba hizi zinaficha mengi,

Kabla hujafa, omba ukutane na mtu akupe mapenzi na mahaba.
Asee uko sahihi kabisa , halafu sidhani kama ni kupewa mahaba , kuna mtu unakutana naye halafu mna click tu .
Binafsi wala sitaki tena kukutana na mpenzi wa aina hiyo , maana niliwahi kuteseka sana kwa dada fulani, siku aliyosema tuachane ni kama aliondoka na moyo wangu , sijawahi kupata breakdown ambayo iliniumiza kama hiyo, halafu sasa wala hakuwa beauty qween .na wala siamini kama nililogwa .
 
.....na ndio maana bila ya mwanaume kutokuwa na moyo mkuu na wa subira matokeo ni KUJIPOTEZA wewe na malengo yako...

Sasa wanaume wengi tuna ufahamu huo...unaanzaje kulia na kumpigia magoti mwanamke...mbususu tu ?!! Mhhh hapo kuna namna [emoji1787]
Huyo jamaa ilibidi wataalamu wa saikolojia wafanye kazi ya ziada ili kumuamisha kwamba mkewe hayupo naye tena maana kumtoa tu pale Mtera ilichukua takribani siku nzima akiamini mkewe atatoka machakani alikoenda kuchimba dawa arejee kwenye gari safari yao kuelekea Mbeya iendelee. Alitamani kujiua, alijifungia ndani kwa zaidi ya miezi 2 hafanyi chochote.....mapenzi ni kitu mbaya sana yakikukalia vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asipolia unadhania nani atakayempa hivyo vitu anavyopewa, Muache alie tu anajua akatayoyakosa😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…