Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
 
IMG_0402.jpg
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.
Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho,mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000,
Jamaa nyanya ilimps jeuri,nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa,nilichofsnya sasa?
Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora ,hatuuacha hata mche mmoja,ilikuwa kilo na kusaga meno
Umenikumbusha Jkt mafunzo sita taja tulivamia shamba la ...............

Ngoja ni ishie hapo maana msala ulio zuka ilikua ni mtiti ni kama vile kuvamia ikulu magogoni na pisto mdoli 🔫🔫

All in all,
Ya Kale 😁😁 yalipita tuka ganga yajayo....😊😊
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akijucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kywa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima
Duuh hii jinsia huwa mnanishangaza sana yani mnajisifu kutumia logic lakini mnashindwa kutambua hiyo logic kwenye mambo mepesi kama haya sasa sijui huwa mnaitumia wapi hiyo logic, yani tendo linalohusisha jinsia mbili na ambalo haliwezi kukamilika bila hizo jinsia mbili kushirikiana ila cha ajabu eti baada ya tendo jinsia moja inasifiwa nyingine inatukanwa, sasa kwa mfano hapo inakuwaje mwanamke ndio awe na makosa na mwanaume asiwe nayo yani ilitakiwa mwanamke afanye na nani na mwanaume afanye na nani ili kila mmoja asiwe na makosa kwa upande wake
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Mwanamke kutokukuambia ukwel hakukukingi na kupasuliwa speaker
 
Duuh hii jinsia huwa mnanishangaza sana yani mnajisifu kutumia logic lakini mnashindwa kutambua hiyo logic kwenye mambo mepesi kama haya sasa sijui huwa mnaitumia wapi hiyo logic, yani tendo linalohusisha jinsia mbili na ambalo haliwezi kukamilika bila hizo jinsia mbili kushirikiana ila cha ajabu eti baada ya tendo jinsia moja inasifiwa nyingine inatukanwa, sasa kwa mfano hapo inakuwaje mwanamke ndio awe na makosa na mwanaume asiwe nayo yani ilitakiwa mwanamke afanye na nani na mwanaume afanye na nani ili kila mmoja asiwe na makosa kwa upande wake
Hakuna anayesifiwa hapo dada yangu. Huyo mdada hajabakwa kapigwa sound mpaka kavua chupi. Hakuna mwanamke humo
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno

😁😁😁😁safi sana.
 
Duuh hii jinsia huwa mnanishangaza sana yani mnajisifu kutumia logic lakini mnashindwa kutambua hiyo logic kwenye mambo mepesi kama haya sasa sijui huwa mnaitumia wapi hiyo logic, yani tendo linalohusisha jinsia mbili na ambalo haliwezi kukamilika bila hizo jinsia mbili kushirikiana ila cha ajabu eti baada ya tendo jinsia moja inasifiwa nyingine inatukanwa, sasa kwa mfano hapo inakuwaje mwanamke ndio awe na makosa na mwanaume asiwe nayo yani ilitakiwa mwanamke afanye na nani na mwanaume afanye na nani ili kila mmoja asiwe na makosa kwa upande wake
kwa hapa inakua ngumu kwasababu labda mwanamke ndo amemtongoza aliye cheat nae
 
Back
Top Bottom