Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Jamaa Wenda anakuchunguza kwa mkeo Kisha mkeo atasema kuwa kipindi hcho uliamka usku wa manane na ulirudi nyumbni umechafuka mno
Hapo ndio utajuwa hujui
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Kila mmoja nilimpa adhabu yake,wote ni wasaliti tu,huyu nilifyeka nyanya huyu nikamtimua
 
Attachment
 

Attachments

  • 1692628279155.jpg
    1692628279155.jpg
    23.3 KB · Views: 1
Hakuna anayesifiwa hapo dada yangu. Huyo mdada hajabakwa kapigwa sound mpaka kavua chupi. Hakuna mwanamke humo
Okay kwahiyo mwanaume kupiga sound hana makosa ila mwanamke kuvua nguo ndio ana makosa, naamini mwanaume asingemtongoza huyo mwanamke basi mwanamke asingemfuata kumlazimisha, hizi kauli zenu za kipuuzi ndio zinafanya wanaume muache kuwajibika kwa makosa yenu na badala yake kila kitu mnawabebesha mizigo wanawake
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
Ww ni bichwa bwege
 
Ok ukishafanya hivyo huyo mwanamke utamsamehe na kuendelea naye kwenye mahusiano?
Kuna wanaume aina mbili watembea na wake za watu.

1. Wale ambao hujisikia ni wanaume zaidi pale wanapotembea na mke wa mtu. (Wengi yanaowakuta ni wa iana hii, na huwa ni wajinga wajinga sana)

2. Wale ambao hata hawana habari kuwa kaolewa, wao wanachotaka ni ngono. (Hawa ni mara chache kupatwa na mabaya maana huwa wanakula wanajifuta, hawana muda na mapenzi)
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Wote wanamakosa ila makosa makubwa yapo kwa Mwanaume,dunia nzima inatambua wanawake ni weak,sasa kama Mwanamke unajua fika ni mke wa MTU kwa nini uendelee kumtongoza??
 
Ukute mkeo hukumfanya lolote licha ya kuwa alikuwa akiliwa na ulithibitisha hilo ukaenda tu kumuharibia mme mwenzio mazao tatizo letu ni mtu unaoa malaya lawama unawatupia watu wengne mwambie aache umalaya usishangae kuona licha ya kufyeka mazao yake yule jamaa bado mkeo anapigwa miti vizur tu haya bhn nalo ni funzo ila kumbuka ukifa mkeo hatoshiriki kulima kaburi
 
kwa hapa inakua ngumu kwasababu labda mwanamke ndo amemtongoza aliye cheat nae
Tuassume lolote kati ya hayo kuwa ni either mwanaume ndio kamtongoza mwanamke au vice versa, bado swali linakuja inakuwaje katika tendo hilo hilo moja mmoja asifiwe na mwingine atukanwe, ilitakiwa mwanaume afanye na nani na mwanamke afanye na nani ili kila mmoja asionekana na makosa hapo
 
Okay kwahiyo mwanaume kupiga sound hana makosa ila mwanamke kuvua nguo ndio ana makosa, naamini mwanaume asingemtongoza huyo mwanamke basi mwanamke asingemfuata kumlazimisha, hizi kauli zenu za kipuuzi ndio zinafanya wanaume muache kuwajibika kwa makosa yenu na badala yake kila kitu mnawabebesha mizigo wanawake
Inategemea hapo
Kuna mwanamke unakutana naye unapiga sound unamuuliza uko single anakujibu yes. Kumbe mke wa mtu. Siku ya siku yanakukuta.

scenario ya pili utabidi udili na wote ikiwa anayekufanyia hivyo ni mtu anajua fika huyo ni mke wako..mfano nduguyo, rafiki yk, mfanyakazi mwenzako au jirani yako au hata mfanyakazi mwenza na mke wako (usije kusema huyu mfanyakazi mwenza asijue kwamba ameoloewa)
 
Inategemea hapo
Kuna mwanamke unakutana naye unapiga sound unamuuliza uko single anakujibu yes. Kumbe mke wa mtu. Siku ya siku yanakukuta.

scenario ya pili utabidi udili na wote ikiwa anayekufanyia hivyo ni mtu anajua fika huyo ni mke wako..mfano nduguyo, rafiki yk, mfanyakazi mwenzako au jirani yako au hata mfanyakazi mwenza na mke wako (usije kusema huyu mfanyakazi mwenza asijue kwamba ameoloewa)
Sawa mkuu nakubaliana na wewe, lakini mbona mambo huwa tofauti pale ambapo mwanaume anamdanganya mwanamke kuwa yuko single kumbe ni mume wa mtu, baadaye anatukanwa mwanamke kuwa kaiba mume wa mtu badala ya kutukanwa huyo mwanaume kwa kumdanganya mwanamke kuwa yuko single
 
Tuassume lolote kati ya hayo kuwa ni either mwanaume ndio kamtongoza mwanamke au vice versa, bado swali linakuja inakuwaje katika tendo hilo hilo moja mmoja asifiwe na mwingine atukanwe, ilitakiwa mwanaume afanye na nani na mwanamke afanye na nani ili kila mmoja asionekana na makosa hapo
dah, hii ngumu aisee

ila wote wana makosa
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Mwanamme aliemnini?
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu
 
Back
Top Bottom