Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Utaacha wangapi mzee baba...! Unachekesha ujue
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
Vp sasa hivi anaekugongea unampango wa kufanya nn. Mwanaume usie na ujasiri haustahili kuishi
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Imekaa mahala pake. Ukiona dem kakucheat basi hukua mwanaume wa kumtosha mwamba anakimbilia kuharibu mali zisizohusika😂😂
 
.......ujinga ni pale ambapo tunaoa malaya then tunawaingiza hasara wanaume wenzetu.......
Mwanamke ni kiumbe dhaifu. Anaweza asiwe malaya lakini ukimkutanisha na watu wenye tamaa na mikwanja mirefu anaweza kukuona bonge moja la fala na kulegeza kamba kwa hao mabaharia. Ndio maana waarabu na wapemba wanawafungia ndani wanawake zao!
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Wewe ndo mjinga. Mwanamke hatumii akili yake kufanya maamuzi bali hisia. Utakuta jamaa aliyemchapa alimdanganya tu ni yatima anaishi kwa tabu halafu manzi akamwonea huruma na kumpa tamu. Aliyekuchapia ndo wa kudili nae.
 
Miaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.

Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.

Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?

Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
Weee jamaa ni mshamba sana demu alikuwa hakupendi unaleta swagga za kijijini. Alafu unaona ulifanya ujanja mwenyewe
 
Mwanamke ni kiumbe dhaifu. Anaweza asiwe malaya lakini ukimkutanisha na watu wenye tamaa na mikwanja mirefu anaweza kukuona bonge moja la fala na kulegeza kamba kwa hao mabaharia. Ndio maana waarabu na wapemba wanawafungia ndani wanawake zao!
.......uko sahihi kabisa mkuu, na hii ina maana mwenye jukumu la kulinda mahusiano au ndoa ni wewe mwenyewe mwenye ndoa, so huyu Jamaa yetu ilipaswa amlinde mkewe na kama alishindwa ilibidi akomae na mkewe kwa kufanya usaliti huo na sio kuleta tabu kwa wengine........
 
.......uko sahihi kabisa mkuu, na hii ina maana mwenye jukumu la kulinda mahusiano au ndoa ni wewe mwenyewe mwenye ndoa, so huyu Jamaa yetu ilipaswa amlinde mkewe na kama alishindwa ilibidi akomae na mkewe kwa kufanya usaliti huo na sio kuleta tabu kwa wengine........
Mimi nilishawahi kuleta kisa humu. Nilimfungulia biashara mwanamke ili asikae doro, nikitoka mihangaiko tunakusanya na alichouza ili tupunguze makali ya maisha.

Aisee kumbe ndio nilikua nimewasogezea nyama wauza bucha aisee. Pisi ikawa inakutana na majibaba yenye pesa anapoenda kufatilia mizigo ya dukani kwenye maduka ya jumla. Wakamrubuni tukaishia kutemana. Biashara nikamuachia nikaendelea na mishe zangu! Kaishia kuifilisi na sasa hivi anajuta.

Ila nimepata funzo ina a very hard way!!!
 
Back
Top Bottom