Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Kuna wanaume aina mbili watembea na wake za watu.

1. Wale ambao hujisikia ni wanaume zaidi pale wanapotembea na mke wa mtu. (Wengi yanaowakuta ni wa iana hii, na huwa ni wajinga wajinga sana)

2. Wale ambao hata hawana habari kuwa kaolewa, wao wanachotaka ni ngono. (Hawa ni mara chache kupatwa na mabaya maana huwa wanakula wanajifuta, hawana muda na mapenzi)
Yeyote kati ya hao lazima amtongoze kabla hajasuuza rungu.

Kwa hiyo mwisho wa siku mwanamke mwenyewe msimamo wake ndio utafanya kazi iwe rahisi au ngumu kwa mtongozaji.

Ndio maana katika kisa hiki lazima lawama ziende kwa mwanamke hana msimamo
 
Wote wanamakosa ila makosa makubwa yapo kwa Mwanaume,dunia nzima inatambua wanawake ni weak,sasa kama Mwanamke unajua fika ni mke wa MTU kwa nini uendelee kumtongoza??
Kwa akili hizi mtachapiwa sana wake zenu

Yaani mkeo atongozwe, akubali, wapange chimbo la kugegedana, wakutane, avue chupi, apigwe miti, ikichomoka airudishie bado unasema kosa kubwa liko kwa mwanamume aliyemlala eti wanawake dhaifu 🤔

Kuna tatizo kubwa sana kwenye kizazi cha sasa wanaume wanazidi kupungua wa kiume wanaongezeka
 
Wanaume mabwege ndio wewe

Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?

Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu

Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Upo sahihi kbsa ..mwanamke akikucheat muache haraka sana kwa afya ya moyo wako
 
Yeyote kati ya hao lazima amtongoze kabla hajasuuza rungu.

Kwa hiyo mwisho wa siku mwanamke mwenyewe msimamo wake ndio utafanya kazi iwe rahisi au ngumu kwa mtongozaji.

Ndio maana katika kisa hiki lazima lawama ziende kwa mwanamke hana msimamo
Mwanamke hakwepi lawama. Ila huyu aina ya kwanza huwa ni mwaribifu wa kutumia udhaifu anauona kwenye ndoa za watu ndo maana mabaya humkuta always.

Unadhani wanaume wengi wanaofanya ubaya ni kwamba wanawapenda sana wake zao? Mara nyingi ni kumkomoa huyu mwanaume aina ya kwanza.
 
Sawa mkuu nakubaliana na wewe, lakini mbona mambo huwa tofauti pale ambapo mwanaume anamdanganya mwanamke kuwa yuko single kumbe ni mume wa mtu, baadaye anatukanwa mwanamke kuwa kaiba mume wa mtu badala ya kutukanwa huyo mwanaume kwa kumdanganya mwanamke kuwa yuko single
Upo sahihi, yes na vice versa inapaswa lawama iwe kwa mwanaume kama aliyefumania ni mwanamke. Ni vile sisi watu weusi ni viumbe wa ajabu sana.
 
Na kwanini utongoze mwanamke ambaye huna malengo naye, kutongoza siyo shida shida ni nia ya kutongoza kama ambavyo wewe huwa unatongoza wanawake kwa lengo la kuwachezea, halafu mwisho wa siku wewe unajiona huna makosa
Labda nikuulize kitu wewe unaona alichofanya huyo mwanamke ni sawa kutongozwa na kukubali kuliwa?
 
Okay kwahiyo mwanaume kupiga sound hana makosa ila mwanamke kuvua nguo ndio ana makosa, naamini mwanaume asingemtongoza huyo mwanamke basi mwanamke asingemfuata kumlazimisha, hizi kauli zenu za kipuuzi ndio zinafanya wanaume muache kuwajibika kwa makosa yenu na badala yake kila kitu mnawabebesha mizigo wanawake
Wewe, usijekuta huyo mwanaume hakujua kama ni mkeo, utakuta demu kasema hana mume, makosa kwa asilimia kubwa ni ya wanawake.

Na kila siku Huwa nasema humu, ukichapiwa ujue humpelekei moto vizuri, ukimpelekea kisawasawa, hata hamu ya kusex nje anakuwa hana, maana unakuwa umemmaliza hamu zote.
 
Labda nikuulize kitu wewe unaona alichofanya huyo mwanamke ni sawa kutongozwa na kukubali kuliwa?
Mwanamke kuwa au kutokuwa na kosa inategemea na jinsi utakavyotafsiri, ninachopinga mimi ni ile wanaume kujiona mko innocent na kila kitu kumbebesha lawama mwanamke, maana hapo najua mnachomaanisha ni kwamba mwanaume akicheat mwenye makosa ni mwanamke tu na ndipo mnaposhindwa kureason
 
Hapo hujasovu tatizo...tabia ni kama ngozi huyo mke wako ataendelea kukunjwa na wana wengne , ndo tabia yake. Anagongwa kwa nyanya?? Hakuna wife apo..
 
Mwanamke kuwa au kutokuwa na kosa inategemea na jinsi utakavyotafsiri, ninachopinga mimi ni ile wanaume kujiona mko innocent na kila kitu kumbebesha lawama mwanamke, maana hapo najua mnachomaanisha ni kwamba mwanaume akicheat mwenye makosa ni mwanamke tu na ndipo mnaposhindwa kureason
Huu uzi unamhusu mwanamke msaliti ndio maana tunazungumzia upande huo.
 
nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa
Naomba uzoefu wako kwenye mbinu ulizotumia mpaka ukajiridhisha bila shaka yoyote kuwa njemba ilikuwa inakula mzigo.

Siku hizi, more than 60 percent ya wanawake waliopo kwenye ndoa wanaliwa na watu wengine angalau mara moja moja au kwa wale waliokubuhu mara nyingi tu.

Sababu zipo nyingi, zikiwepo mke kutoridhishwa kimapenzi na mume aliyenaye, mke kupata manyanyaso kutoka kwa mumewe, mke kutopewa mahitaji yake ya msingi, na hata wakati mwingine mke kuingiwa na tamaa zinazotokana na mahusiano yaliyokuwepo kabla.hajafunga ndoa.
 
Back
Top Bottom