mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Kwanza nakupongeza kwa maamuzi uliyochukua ya kuharibu shamba lake, Hongera sana! kwa atakaekuona umekosea huyo hajawahi kuonja machungu ya kuchapiwa!
Ngoja nami nitoe ushuhuda wangu baada ya kuthibitisha kuna mtu anatembea na mke Wangu, tena hakua mtu wa mbali na pale nnapokaa! Maamuzi niliyochukua ni kuwahi ktk ushirikina.
1. Mganga wa kwanza alikuwa Rafiki wa Mjomba huyu alinambia tumpige kisomo ili jamaa apagawe! tukapiga kisomo cha masaa matatu huku tukimtaja jina lake na kuchoma vitu flani ktk Moto, huyu anapatikana Dar.
2. Mganga wa pili huyu ni Mmakonde anatokea Msumbiji huyu alinambia jambo la kwanza ni kumfunga mirija yake yote ya shilingi halafu, tunamseti Mwanamke anakuwa Mtulivu ndani ya ndoa hasa kama alikuwa na tabia za kimalaya.
3. Mganga wa Tatu huyu anatokea Maheha ipo Tandahimba huyu alinambia tumpige jini ahangaike na Dunia, tukamseti njiwa wa rangi ya mawingu akarushwa kutoka maheha kuja alipo mtesi wangu nikaambiwa itaxhukua siku 7, njiwa kufika na atamvamia jamaa ktk mazingira ya Ajabu.
4. Mganga wa Nne yeye alinipa option ya kuchagua nataka iweje, nikamwambia tumpe mateso ahangaike na Dunia ikiwezekana aje aniombe RADHI akiwa anatambaa ukasetiwa mzinga mmoja wa hatari, ile dawa niliagizwa nihakikishe mbwa anaila, nilipopata utulivu nikanunua utumbo ule utumbo wa bomba nikaizamisha ile dawa, nikamtafuta mbwa alipo nikaongea na mwenya mbwa nikampoza buku5 nikampa mbwa ule utumbo kazi ikaisha, na dawa zingine nikaxhoma saa saba ya Usiku, matokeo ya dawa ya mbwa muhusika anakuwa na tabia kama ya mbwa ya kutoa ulimi muda wote kama vile afanyavyo Mbwa!
Kufuoisha Story nilitumia waganga tofauti tofauti Sita, na nilipata Uchungu na hasira kwa sababu Mwanamke niliyenae nimezaa nae watoto watatu, na kuna kibarua nimemtafutia! nikaona kuna Ugumu wa kumuacha kwa kuwa wanangu watapata tabu ya kimalezi, pia nikawa na option nyingine ya kuongeza Mke wa pili ambae nahisi anaweza kuwa faraja yamgu maana yule wa kwamza nahisi hana Upendo nami.
Nilisahau kuwajulisha yule jamaa niliyemuendea kwa waganga ili kumroga! hadi sasa jamaa yupo yupo hajielewi anatembea sana kwa miguu akiwa anaongea peke yake barabarani! pia pale alipokuwa anaishi karibu yangu amehama! naendelea kumfuatilia kujua hatma yake ili kama haikkolea nikazimue tena hadi kieleweke ili Moyo wangu ufurahi!
Ngoja nami nitoe ushuhuda wangu baada ya kuthibitisha kuna mtu anatembea na mke Wangu, tena hakua mtu wa mbali na pale nnapokaa! Maamuzi niliyochukua ni kuwahi ktk ushirikina.
1. Mganga wa kwanza alikuwa Rafiki wa Mjomba huyu alinambia tumpige kisomo ili jamaa apagawe! tukapiga kisomo cha masaa matatu huku tukimtaja jina lake na kuchoma vitu flani ktk Moto, huyu anapatikana Dar.
2. Mganga wa pili huyu ni Mmakonde anatokea Msumbiji huyu alinambia jambo la kwanza ni kumfunga mirija yake yote ya shilingi halafu, tunamseti Mwanamke anakuwa Mtulivu ndani ya ndoa hasa kama alikuwa na tabia za kimalaya.
3. Mganga wa Tatu huyu anatokea Maheha ipo Tandahimba huyu alinambia tumpige jini ahangaike na Dunia, tukamseti njiwa wa rangi ya mawingu akarushwa kutoka maheha kuja alipo mtesi wangu nikaambiwa itaxhukua siku 7, njiwa kufika na atamvamia jamaa ktk mazingira ya Ajabu.
4. Mganga wa Nne yeye alinipa option ya kuchagua nataka iweje, nikamwambia tumpe mateso ahangaike na Dunia ikiwezekana aje aniombe RADHI akiwa anatambaa ukasetiwa mzinga mmoja wa hatari, ile dawa niliagizwa nihakikishe mbwa anaila, nilipopata utulivu nikanunua utumbo ule utumbo wa bomba nikaizamisha ile dawa, nikamtafuta mbwa alipo nikaongea na mwenya mbwa nikampoza buku5 nikampa mbwa ule utumbo kazi ikaisha, na dawa zingine nikaxhoma saa saba ya Usiku, matokeo ya dawa ya mbwa muhusika anakuwa na tabia kama ya mbwa ya kutoa ulimi muda wote kama vile afanyavyo Mbwa!
Kufuoisha Story nilitumia waganga tofauti tofauti Sita, na nilipata Uchungu na hasira kwa sababu Mwanamke niliyenae nimezaa nae watoto watatu, na kuna kibarua nimemtafutia! nikaona kuna Ugumu wa kumuacha kwa kuwa wanangu watapata tabu ya kimalezi, pia nikawa na option nyingine ya kuongeza Mke wa pili ambae nahisi anaweza kuwa faraja yamgu maana yule wa kwamza nahisi hana Upendo nami.
Nilisahau kuwajulisha yule jamaa niliyemuendea kwa waganga ili kumroga! hadi sasa jamaa yupo yupo hajielewi anatembea sana kwa miguu akiwa anaongea peke yake barabarani! pia pale alipokuwa anaishi karibu yangu amehama! naendelea kumfuatilia kujua hatma yake ili kama haikkolea nikazimue tena hadi kieleweke ili Moyo wangu ufurahi!