Mkuu rejea comment yako ya kwanza ulisema mwanamke akikucheat ujue mwenye makosa ni mwanamke, sawa labda nikuulize vipi na mwanaume naye akicheat mwenye makosa anakuwa nani, labda nitaeleweka ninachotaka kusemaHuu uzi unamhusu mwanamke msaliti ndio maana tunazungumzia upande huo.
Utaacha wangapi mzee baba...! Unachekesha ujueWanaume mabwege ndio wewe
Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?
Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu
Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Vp sasa hivi anaekugongea unampango wa kufanya nn. Mwanaume usie na ujasiri haustahili kuishiMiaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.
Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.
Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?
Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
Imekaa mahala pake. Ukiona dem kakucheat basi hukua mwanaume wa kumtosha mwamba anakimbilia kuharibu mali zisizohusikaππWanaume mabwege ndio wewe
Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?
Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu
Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Mwanamke ni kiumbe dhaifu. Anaweza asiwe malaya lakini ukimkutanisha na watu wenye tamaa na mikwanja mirefu anaweza kukuona bonge moja la fala na kulegeza kamba kwa hao mabaharia. Ndio maana waarabu na wapemba wanawafungia ndani wanawake zao!.......ujinga ni pale ambapo tunaoa malaya then tunawaingiza hasara wanaume wenzetu.......
Hii kauli huwa ya kibwege sana πUtaacha wangapi mzee baba...! Unachekesha ujue
MwanamumeMkuu rejea comment yako ya kwanza ulisema mwanamke akikucheat ujue mwenye makosa ni mwanamke, sawa labda nikuulize vipi na mwanaume naye akicheat mwenye makosa anakuwa nani, labda nitaeleweka ninachotaka kusema
Utaacha wangapi mzee baba...! Unachekesha ujue
Wewe ndo mjinga. Mwanamke hatumii akili yake kufanya maamuzi bali hisia. Utakuta jamaa aliyemchapa alimdanganya tu ni yatima anaishi kwa tabu halafu manzi akamwonea huruma na kumpa tamu. Aliyekuchapia ndo wa kudili nae.Wanaume mabwege ndio wewe
Mwanamke akikucheat yeye ndiye mwenye makosa sio mwanamume aliyetoka naye maana anajua yuko committed na mtu wake anakubalije kumvulia chupi mwanamume mwingine?
Mwanamke akikucheat ni jambo la kushukuru Mungu amekuonyesha kuwa hakukupenda wala kukuheshimu
Huwa tunawapiga chini wanawake wasaliti mazima. Wajinga hudeal na mwanamume aliyemtomba
Wewe ndo mjinga. Mwanamke hatumii akili yake kufanya maamuzi bali hisia. Utakuta jamaa aliyemchapa alimdanganya tu ni yatima anaishi kwa tabu halafu manzi akamwonea huruma na kumpa tamu. Aliyekuchapia ndo wa kudili nae.
Weee jamaa ni mshamba sana demu alikuwa hakupendi unaleta swagga za kijijini. Alafu unaona ulifanya ujanja mwenyeweMiaka kadhaa nyuma nikiwa mkoani iringa kuna mwamba mmoja alikuwa akinichapia shemeji yenu.
Jamaa hakuwa na shughuli nyingine zaidi ya kilimo,
Alilima nyanya na pilipili hoho, mwaka huo 2019 tenga la nyanya kwa DSM lolifika 90,000.
Jamaa nyanya ilimpa jeuri, nilijiridhisha bila shaka kuwa nachapiwa, nilichofanya sasa?
Usiku wa manane nikiwa na makamanda wangu tuling'oa na kufyeka shamba la yule mkora, hatuuacha hata mche mmoja, ilikuwa kilo na kusaga meno
.......uko sahihi kabisa mkuu, na hii ina maana mwenye jukumu la kulinda mahusiano au ndoa ni wewe mwenyewe mwenye ndoa, so huyu Jamaa yetu ilipaswa amlinde mkewe na kama alishindwa ilibidi akomae na mkewe kwa kufanya usaliti huo na sio kuleta tabu kwa wengine........Mwanamke ni kiumbe dhaifu. Anaweza asiwe malaya lakini ukimkutanisha na watu wenye tamaa na mikwanja mirefu anaweza kukuona bonge moja la fala na kulegeza kamba kwa hao mabaharia. Ndio maana waarabu na wapemba wanawafungia ndani wanawake zao!
Hahaaaa, ulikutana na bwana shamba Juma Shabani wa Bwana Shamba Farm mmoja wa mabwana shamba sharti zaidi Tanzania.Ruaha mbuyuni mkuu sio ilula
Mimi nilishawahi kuleta kisa humu. Nilimfungulia biashara mwanamke ili asikae doro, nikitoka mihangaiko tunakusanya na alichouza ili tupunguze makali ya maisha........uko sahihi kabisa mkuu, na hii ina maana mwenye jukumu la kulinda mahusiano au ndoa ni wewe mwenyewe mwenye ndoa, so huyu Jamaa yetu ilipaswa amlinde mkewe na kama alishindwa ilibidi akomae na mkewe kwa kufanya usaliti huo na sio kuleta tabu kwa wengine........