Nilivyofyeka shamba la nyanya ekari moja la jamaa aliyekuwa akinichapia mpenzi wangu

Kwanza nakupongeza kwa maamuzi uliyochukua ya kuharibu shamba lake, Hongera sana! kwa atakaekuona umekosea huyo hajawahi kuonja machungu ya kuchapiwa!
Ngoja nami nitoe ushuhuda wangu baada ya kuthibitisha kuna mtu anatembea na mke Wangu, tena hakua mtu wa mbali na pale nnapokaa! Maamuzi niliyochukua ni kuwahi ktk ushirikina.
1. Mganga wa kwanza alikuwa Rafiki wa Mjomba huyu alinambia tumpige kisomo ili jamaa apagawe! tukapiga kisomo cha masaa matatu huku tukimtaja jina lake na kuchoma vitu flani ktk Moto, huyu anapatikana Dar.
2. Mganga wa pili huyu ni Mmakonde anatokea Msumbiji huyu alinambia jambo la kwanza ni kumfunga mirija yake yote ya shilingi halafu, tunamseti Mwanamke anakuwa Mtulivu ndani ya ndoa hasa kama alikuwa na tabia za kimalaya.
3. Mganga wa Tatu huyu anatokea Maheha ipo Tandahimba huyu alinambia tumpige jini ahangaike na Dunia, tukamseti njiwa wa rangi ya mawingu akarushwa kutoka maheha kuja alipo mtesi wangu nikaambiwa itaxhukua siku 7, njiwa kufika na atamvamia jamaa ktk mazingira ya Ajabu.
4. Mganga wa Nne yeye alinipa option ya kuchagua nataka iweje, nikamwambia tumpe mateso ahangaike na Dunia ikiwezekana aje aniombe RADHI akiwa anatambaa ukasetiwa mzinga mmoja wa hatari, ile dawa niliagizwa nihakikishe mbwa anaila, nilipopata utulivu nikanunua utumbo ule utumbo wa bomba nikaizamisha ile dawa, nikamtafuta mbwa alipo nikaongea na mwenya mbwa nikampoza buku5 nikampa mbwa ule utumbo kazi ikaisha, na dawa zingine nikaxhoma saa saba ya Usiku, matokeo ya dawa ya mbwa muhusika anakuwa na tabia kama ya mbwa ya kutoa ulimi muda wote kama vile afanyavyo Mbwa!
Kufuoisha Story nilitumia waganga tofauti tofauti Sita, na nilipata Uchungu na hasira kwa sababu Mwanamke niliyenae nimezaa nae watoto watatu, na kuna kibarua nimemtafutia! nikaona kuna Ugumu wa kumuacha kwa kuwa wanangu watapata tabu ya kimalezi, pia nikawa na option nyingine ya kuongeza Mke wa pili ambae nahisi anaweza kuwa faraja yamgu maana yule wa kwamza nahisi hana Upendo nami.

Nilisahau kuwajulisha yule jamaa niliyemuendea kwa waganga ili kumroga! hadi sasa jamaa yupo yupo hajielewi anatembea sana kwa miguu akiwa anaongea peke yake barabarani! pia pale alipokuwa anaishi karibu yangu amehama! naendelea kumfuatilia kujua hatma yake ili kama haikkolea nikazimue tena hadi kieleweke ili Moyo wangu ufurahi!
 
Sasa nyanya ndio zilizokut00mbea mkeo. Ulitumia emotions na sio logic. Ungedili naye kwa akili mno mkuu. Sasa Ila kwani si alishamkula kwani alitapika alichokula. Mkeo ndio akawa mdhaifu kwa mwamba. Wanawake wanapenda wanaume wenye mafanikio ama ma hustlers.so ulitakiwa uhaso zaidi yake,na ataliwa na mwingine mwenye kuuza Tenga la nyanya laki mbili. Na atavuna Tenga alfu kumi.ataweka walinzi Sasa hapo utafanyaje
 
Si kashampiga chini!?
 
NYanya ndio xilikuwa zinamtia kiburi
 

Dah mwamba Wewe kweli kauzu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenye makosa kwa huyo jamaa aliechapiwa ni huyo mpenzi wake na sio huyo mume mwenzie.

Huyo alietiwa hasara hana kosa huenda hata alikua hajui kama huyo mwanamke ana mtu labda nae ni muhanga wa uongo wa huyo mwanamke. Sasa jamaa kwenda kumtia hasara kiboya inaonesha alivyo punguqni ama hamnazo.

Kwahiyo akiskia tena demu wake anachapwa na mtu mwingine ataenda tena kumtia hasara hiyo mwingine, na mwingine na mwingine tena. Huoni ni ujinga huo.

Anaacha kudeal na chanzo yeye anadeal na matokeo.
 
Hizi akili sijui mnazitoaga wapi aisee.

Nawaombea wanao wasirithi wivu wa kipuuzi na kijinga usioelezeka kama huu.
 
Mwanamke mpumbavu ndio analiwaga, kipumbavu wakati anajua yuko katiKa himaya ya mume.
 
Na kwanini utongoze mwanamke ambaye huna malengo naye, kutongoza siyo shida shida ni nia ya kutongoza kama ambavyo wewe huwa unatongoza wanawake kwa lengo la kuwachezea, halafu mwisho wa siku wewe unajiona huna makosa
Mwanamke hachezewi ila anagongwa vizuri tu😀
 
Bila hisia kali juu yako hata ukeshe unamchokonoa mkeo usiku kucha hatakaa aridhike. Ipo siku tu atafuatwa na mtu ambaye hata akimuona tu chupi inalowana chap chap. Na hapo hatakuwa na ujanja lazma atapigwa pumbu tu.
 
Kisasi cha usaliti wa mapenzi ni kama bomu tu. Linapolipuka huwa haijalishi walio jirani wana husika au hawausiki. Hivyo ni sawa tu iwe uligonga kwa kujua au kutojua unaweza dhurika maana mwenye mke ana dhamana nae kisheria.
 
Huo ndio uanaume. Mke sio kitu cha kuki expose ndio maana waarabu wanafungia wake zao ndani na kuwapiga mimba kila wakati.
 
We jamaa ni mafia sana. Hii kiboko ya uchafu.
 
Hizi akili sijui mnazitoaga wapi aisee.

Nawaombea wanao wasirithi wivu wa kipuuzi na kijinga usioelezeka kama huu.
Nikimkosa ktk mbinu hii ya shirki namkodia vijana wamf*******e na ntahakikisha anachukuliwa na video au Picha! hili ntafanikiwa maana namba yake ya simu bado nnayo!
 
Ni bora ungeenda kuvuna nyanya kuliko kufyeka

Umaskini hautakuacha kamwe Maana hujui malipizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…