Nilivyoingiza 17.6M ndani ya mwaka mmoja na nusu, kwa biashara ya Mgahawa kwa mtaji wa kawaida kabisa

Namlaani sana aliyenifundisha kubeti maana nimeshindwa kuacha na imekuwa sehemu ya maisha, kuna muda unasema umeacha ila baada ya miezi kadhaa narudi kulekule.
Bro ktk Madhambi makubwa dini yetu ya kiislamu basi KAMARI kumi bora hakosi any way nakupa pongezi na hongera kwa uthubutu wa kuamua kufanya biashara .Jambo lolote ukiamini kulifanya special la halali basi litakutoa tu kwa mfano kulikuwa na mshu shine moja mombosa miaka hiyo alikuwa akitamani amiliki bus la abiria naam alijipanga kila peni lake halitoki mfukoni na ilifika siku alimiliki bus na kazi yake hakuuacha ya shoe polish .Warusi wana joke yao moja hiyo maarufu urusi kulikuwa na bwana mmoja miaka ya nyuma akifanykazi 24/7 wakimwita Papa Kala ukimwambia mtu niko buzyy sana wanakwambia ww papa kala.
 
Mbwembwe nyingi kumbe unampgia promo Karumanzila
 
Unadhani sijui kuwa mi dhambi mkuu? Naelewa ila ndiohivyo nimenaswa, naweza kusema nimeacha then baada ya mwezi unajikuta kulekule.

Nimepokea pongezi zako mkuu, asante.
 
Kila biashara ina faida ila kuitunza hela na kuidhibiti inahitaji maarifa ya ziada, vinginevyo utakuwa unafaidisha watu huku wewe ukiendelea kulipia pango.
Na hapo ndipo wasomi wanaotumia principle za Kotler wanapofeli😂! Biashara zina siri nyingi ambazo waliofanikiwa hawazisemagi!
 
𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!! 🍍🍉𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!🍗 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!! 🥥𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!🍔 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀!!!
꧁༒☬*𝓤𝓼𝓪𝓯𝓲 𝓝𝓪 𝓒𝓱𝓪𝓴𝓾𝓵𝓪 𝓒𝓱𝓮𝓷𝔂𝓮 𝓛𝓪𝓭𝓱𝓪 𝓝𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓼𝓲𝓷𝓰𝓲 𝓜𝓴𝓾𝓾 𝓦𝓪 𝓚𝓪𝔃𝓲 𝓨𝓮𝓽𝓾☬༒꧂

𝐊𝐰𝐚 𝐌𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐲𝐚 #𝐌𝐏𝐈𝐒𝐇𝐈𝐈 𝐖𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐤𝐚 𝐊𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐒𝐡𝐮𝐠𝐡𝐮𝐥𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 Au Mgahawa 𝐘𝐮𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐚.😊
𝐏𝐨𝐩𝐨𝐭𝐞 𝐩𝐚𝐥𝐞 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢.

𝐓𝐮𝐧𝐚𝐩𝐢𝐤𝐚 𝐁𝐈𝐑𝐈𝐀𝐍𝐈, 𝐏𝐈𝐋𝐀𝐔 𝐊𝐔𝐊𝐔/ 𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀, 𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐌𝐀, 𝐒𝐀𝐌𝐀𝐊𝐈 𝐖𝐀𝐋𝐈 𝐌𝐖𝐄𝐔𝐏𝐄/𝐌𝐀𝐔𝐀, 𝐍𝐃𝐈𝐙𝐈 𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀/𝐔𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, 𝐌𝐀𝐍𝐃𝐈, 𝐒𝐀𝐌𝐁𝐔𝐒𝐀, 𝐊𝐔𝐊𝐔 𝐂𝐇𝐎𝐌𝐀, 𝐊𝐀𝐓𝐑𝐄𝐒𝐈 𝐧.𝐤😋
𝐏𝐢𝐚 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐊𝐮𝐤𝐮𝐥𝐞𝐭𝐞𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐔𝐧𝐚𝐨𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐭𝐞𝐧𝐚 𝐊𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐌𝐨𝐭𝐨𝐨𝐨𝐨🔥🔥🔥🔥🔥🔥
𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐔𝐭𝐚𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐁𝐔𝐅𝐅𝐄𝐓 𝐏𝐢𝐚 𝐈𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐍𝐢 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐍𝐚 𝐕𝐢𝐥𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐇𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐁𝐨𝐫𝐚 𝐊𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚𝐚.
𝐊𝐰𝐚 𝐖𝐚𝐭𝐞𝐣𝐚 𝐖𝐚𝐩𝐲𝐚 𝐖𝐨𝐭𝐞 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐩𝐢𝐤𝐚 𝐊𝐰𝐚 𝐁𝐞𝐢 𝐘𝐚 𝐏𝐔𝐍𝐆𝐔𝐙𝐎 * *𝟒𝟎% 𝐍𝐚 𝐤𝐮𝐡𝐚𝐤𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐀𝐦𝐞𝐥𝐢𝐝𝐡𝐢𝐚 𝐇𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐘𝐞𝐭𝐮 𝐊𝐰𝐚 𝐀𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐘𝐚 𝐊𝐮𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐊𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐍𝐚𝐞 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢.
𝐊𝐰𝐚 𝐌𝐚𝐰𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧𝐨☎️📞
𝐏𝐢𝐠𝐚/𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐚𝐩𝐩: 𝟎𝟔𝟓𝟕 𝟑𝟑 𝟐𝟖𝟏𝟒
𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦: @𝐦𝐩𝐢𝐬𝐡𝐢𝐢_
𝐄𝐦𝐚𝐢𝐥:📧𝐦𝐩𝐢𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚𝐬𝐡𝐮𝐡𝐮𝐫𝐢𝐧𝐢@𝐠𝐦𝐚𝐢𝐥.𝐜𝐨𝐦
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐔𝐍𝐆𝐔 𝐀𝐖𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈
 

Attachments

  • mpishii .jpg
    63.3 KB · Views: 39
  • Ndizi.jpg
    62.3 KB · Views: 42
  • BIRIANI .jpg
    98.4 KB · Views: 46
  • Mpishii 0657 33 2814 .jpg
    67.1 KB · Views: 46
  • NDIZI 2.jpg
    64.3 KB · Views: 45
Unadhani sijui kuwa mi dhambi mkuu? Naelewa ila ndiohivyo nimenaswa, naweza kusema nimeacha then baada ya mwezi unajikuta kulekule.

Nimepokea pongezi zako mkuu, asante.
Mkuu chaka gani kwa sasa naweza kwenda kuwekeza kwenye mgahawa?
 
Mkuu chaka gani kwa sasa naweza kwenda kuwekeza kwenye mgahawa?
Ukienda sehemu moja panaitwa KAKOLA kijiji cha Nyamishega huku utauza sana tu, maana kuna machimbo yameibuka hivyo watu wa dutwa wamekimbilia huko
 
Ukienda sehemu moja panaitwa KAKOLA kijiji cha Nyamishega huku utauza sana tu, maana kuna machimbo yameibuka hivyo watu wa dutwa wamekimbilia huko
Asante sana ila napenda kufahamu yana mda gani tangu yaibuke,naanisha naweza kwenda too late pengine,Asante!
 
Asante sana ila napenda kufahamu yana mda gani tangu yaibuke,naanisha naweza kwenda too late pengine,Asante!
Yes kuna machimbo huibuka na kuisha lakini si ndani ya muda mfupi hivyo kama wengi wanavyofikiri, huwa yanakaa hata for two years kwahiyo ukiwa mjanja unatengeneza pesa nzuri tu.

Sasa yale yamevuma sana mwezi wa 4 na dhahabu ni nyingi, kwahiyo hujachelewa mkuu. Kule watu ni wengi kuliko unavyofikiri na kuuza ni lazima kwasababu mnakuwa mbali na mji hivyo huduma nyingi watu lazima wazipate hapohapo.
 
Asante sana mkuu...ndani ya week hii nitafika huko,nitakupa mrejesho.
 
Daah mkuu mwenyw nataman kuanzisha biashar hii ya mgahaw kweny chuo flan hv maan kusoma bila kujishughurisha uongoo lakn kalee ka moyo ka kuanzaa ndoo changamot
 
Nyie endeleeni kuongea kisomi!! in reality ni lazima uwacheki sangoma ili kuepusha vikwazo na kusonga front
 
Comment za hivi zinanipaga moyo sana.
 
Namlaani sana aliyenifundisha kubeti maana nimeshindwa kuacha na imekuwa sehemu ya maisha, kuna muda unasema umeacha ila baada ya miezi kadhaa narudi kulekule.
Siku moja moja sio mbaya, ni kwa hamu tu.
 

Kwanini hukuchagua upande wa Mungu ukasimama nao sawasawa ila ukaona huwezi kutoboa mpaka sangoma ahusike, ningependa kufahamu tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…