#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

Hongera! Lakini usisahau kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji tiririka,kutumia Sanitizer vinginevyo hujaipona Covid-19!

Kwa wale ambao hatujachanja na wale mliochanjwa ngoma ni draw.
 
Hongera! Lakini usisahau kuvaa barakoa,kunawa mikono kwa maji tiririka,kutumia Sanitizer vinginevyo hujaipona Covid-19!
Kwa wale ambao hatujachanja na wale mliochanjwa ngoma ni draw.
Ngoma ni draw mpaka pale mtakapo kuwa mumeambukizwa ndio utaona tofauti ya msoto kati ya yule aliyachanjwa na wewe ambaye hujachanjwa.
 
Majibu yenu ya kubeza haya maswali ya wengine ndio yanazidisha wasiwasi.
Hata mimi sishangai sana kuona watu wanakataa chanjo, maana kuna watu wanakataa kujenga na kutumia vyoo, hadi Leo mpaka washikwe faini za kutokuwa na choo. Twende nao pole pole watu wetu.
 
Mhe; tatizo unaweza usilipate wewe akaja kupata mtoto wako inscase Bado kama unazaa au unazalisha tena may be baada ya miaka hata 10+ hukoo, au hata wewe baada ya miaka kadhaa l, so usitoe conclusion Kwa Muda wa hata miezi 6 haujafika unasema upo okay!, Itafika Muda watu tutakuwa tunaumwa lakini hatujui shida Nini? Lakini huwez jua pengine ni kitu ambacho tunakitengeneza saizi.
So be extra Carefully
Huwezi kuishi kwa kupiga ramli kama hivyo. Madhara ya muda mrefu yapo hata kwenye vyakula vinavyolimwa kwa mbolea, kupulizia dawa za wadudu na kuhifadhia nafaka. Madhara yako kwenye soda, juices na madawa tunayotumia tukiumwa.

Hata watoto wanapopaata chanjo wengi wao hupatinda homa na kutulozwa kwa Panadol na barafu. Kaka huna sababu ya maana ya kukataa chanjo eti kuogopa madhara ya muda mrefu.
 
Mbona mnatumia nguvu Kubwa Sana kuchanja n hiari Kama wew umechanja kaa kimya
 
😆😆Umekazana sana na eneo hilo,ukijua utapata vijana wengi... hongera
Kwani wasipochanjwa ninapata hasara gani? Mtu anakataa kuchimba choo sembuse chanjo hii. Mtu anakataa kutumia condom sembuse chanjo ya covid-19? Sina sababu ya kumshawishi mtu achanje.
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya covid-19 Jonson Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la Lushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupunzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa megu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na WAtu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.

Mwehu
 
Ngoma ni draw mpaka pale mtakapo kuwa mumeambukizwa ndio utaona tofauti ya msoto kati ya yule aliyachanjwa na wewe ambaye hujachanjwa.
Onnba Mungu ndugu zako vijijini wasipate covid-19, maana hakuna hospital, oxygen Wala usafiri.
 
Onnba Mungu ndugu zako vijijini wasipate covid-19, maana hakuna hospital, oxygen Wala usafiri.
Nakubaliana na wewe, ndio maana inatubidi tupate chanjo ili kuepuka severe infection. Labda hukuelewa comment yangu ya awali.
 
suala la nguvu za kiume, mimi pia nilijisikia, nilitamani kujamiiana kila wakati, hadi niliogopa wasijekuwa waliweka viagra, kwa siku mbili, mdudu alikuwa juu muda ulio mwingi.
 
Mbona mnatumia nguvu Kubwa Sana kuchanja n hiari Kama wew umechanja kaa kimya
Kama Uzi haukuhusu kaa kimya usichangie, Uzi unawalenga zaidi wale tuliochanja tutoe ushuhuda na maudhi tuliyokutana nayo baada ya kuchanjwa chanjo ya Johnson's. Huwezi kuchangia hapa kwakuwa huna Cha kuchangia
 
HV jmn c wamesema kipaumbele Ni wazee kuanzi 50 alfu cc walio below utatolewaa utaratibu wa kupewa chanjo
 
Mlinganisho huo na wa polio surua haviendani mkuu sababu ilichukua muda mrefu kupatikana chanjo yake ila hii imekuja very soon yaani testing yake inafanyika directly ndio maana hata uchanjwe bado uko hatarini na zinapingwa kwa sehemu kubwa sana
Ni hivi mkae mkijua kuwa pia ni biashara hii ya covid imekuja haraka kwa sababu hili janga limewagusa wao moja kwa moja.Malaria hawahangaiki nayo kwasababu ugonjwa huu uko zaidi nchi za kimasikini ebola,kipindupindu na Ebola vikiwepo.
Acha upotoshaji
 
HV jmn c wamesema kipaumbele Ni wazee kuanzi 50 alfu cc walio below utatolewaa utaratibu wa kupewa chanjo
Hapana sasa ni ruksa kwa kila anaetaka kuchanja ili mradi uwe na miaka 18+
 
Mimi baada ya chanjo asubuhi na mapema kwenye saa 4 hivi nilikuwa poa tu nilikuja kusikia dalili kama za homa jioni kabisa,

Mwili nikawa naiusikia kama ninavyoaanza kuumwa Maleria, kichwa kizito na kuuma. Lakini nikuwa nimeshaambiwa tayari na Wataalamu wa afya kuhusu hizo side effects kwamba unaweza kupata uchovu, kuumwa na kichwa, kichefuchefu na maumivu ya viungo hiyo ni kwa sababu chanjo inakuwa unazunguka kwenye mwili kuamsha kinga zote za Mwili na kwamba unaweza jisikia hivyo ndani ya siku mbili.

Sikuwa na shaka baada siku moja tu nikawa vema sana kwakweli hata mimi niliona mabadiliko makubwa na mazuri mno. Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kila siku jioni narudi nimechoka mno now hakuna. Naona mwili wangu una nguvu zaidi ya mwanzo. Kwakweli nendeni mkachanje msiwasikilize watu wa mitandaoni humu maana hata chakushangaza nilichokiona vijana kama mimi ni wengi sana vituoni ila ukija huku nako comment za wabishi wasiotaka chanjo nazo nyingi huwenda wanabisha huku nyuma ya pazia wanaenda kuchanja.

Kwenye ukoo wetu wote mimi ndio nilkuwa wakwaza kuchanja, ndugu zangu wakaanza kuniita Zombie. Sasa hivi nao wote wanataka chanjo.
 
Ni hivi mkae mkijua kuwa pia ni biashara hii ya covid imekuja haraka kwa sababu hili janga limewagusa wao moja kwa moja.Malaria hawahangaiki nayo kwasababu ugonjwa huu uko zaidi nchi za kimasikini ebola,kipindupindu na Ebola vikiwepo.
Acha upotoshaji

Nasikia mwangwi wa nabii jiwe hapa. Lakini mbona chanjo tumeletewa bure, ila tunapimwa na kulazwa mahospilalini kwa hela?

Pana mwongo hapa na bila shaka ni huyu anayeturundikia tozo za kila aina!
 
Back
Top Bottom