#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Hatuchanji
 
Maswali kadhaa kwako Mkuu
1.ULIPIMWA KWANZA KUJUA KAMA TAYARI UMESHA AMBUKIZWA NDIPO UKACHANJWA? AU ULICHANJWA TU ?
2. NA JE IKIWA TAYARI UNA MAAMBUKIZI UNACHANJWA AU HUCHANJWI?
3. NA JE UKICHANJWAN UKIWA TAYARI ULISHAPATA MAAMBUKIZI NINI KINATOKEA??
1.Si lazima kupima kabla ya kuchanja.Hata chanjo za utotoni hatupimi kabla ya kuchanja.
2.Ukiwa na maambukizi subiri miezi 3 ndo uchanje.
3.Ukipata maambukizi unapata kinga ya muda mfupi sana.Chanjo inakupa kinga ya muda mrefu.
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
We hata ukisema mkunyenge wako tokea uchanjwe hadi leo umesimama sisi hutushawishi kihivyo,umechanja ni wewe bas!

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
naskia ukichanja kiwango cha haja kubwa kinaogezeka je wewe hujakumbana na hii kadhia?
 
Hutupati hata useme inaongeza nguvu za kiume
Watu ni wabaya sana aisei. Siku ya uzinduzi wa chanjo nilikuta misururu mirefu ya watu wanaotaka kuchanja. Nikasema kweli akili za kuambiwa changanya na zako. Watu wanasema hatuchanji kumbe wameshachanja. Askofu ameahachanja halafu anawaambia wenzake wasichanje
 
Maswali kadhaa kwako Mkuu
1.ULIPIMWA KWANZA KUJUA KAMA TAYARI UMESHA AMBUKIZWA NDIPO UKACHANJWA? AU ULICHANJWA TU ?
2. NA JE IKIWA TAYARI UNA MAAMBUKIZI UNACHANJWA AU HUCHANJWI?
3. NA JE UKICHANJWAN UKIWA TAYARI ULISHAPATA MAAMBUKIZI NINI KINATOKEA??
Kusema kweli hakuna kumpima mtu kabla ya kumchanja. Mimi sikupimwa sijui kama Kuna mtu alipimwa kabla ya kipatiwa hii chanjo
 
Hakuna maswali yeyote, kinachosumbuwa watu kwa sasa ni utandawazi.

Hivi zile chanjo za surua, ndui, nk Nini walijadiliana na nani zikaletwa huku Africa? Au zikakubalika na wengine?

Si tumeletewa tu? Au kulikuwa na mjadala kama huu wa chanjo ya uviko?

Kuna yeyote aliyehoji usalama wa chanjo zile?
Kila anayelinganisha chanjo hizi na Covax ni mweupe tu. Hamna anachojua. Ni mjinga aliyechangamka.

Huu upumbavu ulioandika hata watengeneza chanjo wenyewe wanakukana. Kwani mkisema ukweli mnaogopoa nini? Na kama hujui kitu si unyamaze tu.

Kwanza hakuna chanjo inaitwa faizer, haipo. Pili chanjo za suruaa na ndui zilikuwa ni mRNA? Tatu hizo chanjo umezitaja ziliingizwe en masse baada ya muda gani. Mwisho unakumbuka ulijaza form ya ku declare liability iwe kwako kwa madhara yeyote kwenye ipi kati ya chanjo ulizozitaja?

Wala usijibu hapa, maana hakuna anayetaka ujibu hapa. Kaa, tafuta majibu ukiisha kuyapata utajiona ulivyo mweupe!
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
umechanja hospitali gani?
 
Usituchukulie wajinga humu..Peleka FB haya mambo 🤣🤣Eti nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu,, unakuta zlikua hazipo kbsa ,0*3=0
Nimekimbilia kuisema sex kwakuwa ndio ilikuwa hofu yangu juu ya chanjo. Yaani mm nilikuwa na hofu mbili TU kuhusu chanjo. Hofu ya kwanza ilikuwa kuganda kwa damu na hofu ya pili ilikuwa kupungua kwa nguvu za kiume. Siku 3 nzima baada ya chanjo sikuiwaza Wala kuikumbuka sex nikaanza kuingiwa na hofu. Lakini baada ya siku 7 hivi nikatamani kufanya kila wakati na kila mtu.

Kaka wanachanja watu wenye thamani kubwa sokoni kama Messi, Cr7, Harry Kane na wachezaji wengine wa EPL, sembuse wewe kapuku usiye na chakupoteza? Mbona wachezaji wanachanja na hawageuki mazombie na mabao wanafunga? Kwaakweli tunatia aibu watanzania kwenye hili.
 
Sidhani kama chanjo ya covid ilifanywa directly bila tafiti.

Na kama ni majaribio? Wasingefanya kwa dunia nzima wote wachanjwe.

Pia sasa watu wapo more advanced ktk technology

Hivyo kuchukuwa muda mchache kufanya tafiti inawezekana sana.

Kuliko miaka ya 1970 na 1980.
Mbegu za GMO hamzitaki lakini chanjo ya GMO mnasema iko salama. Tuwaeleweje?
 
Mkuu usitumie nguvu nyingi sana kuwaaminisha watu kuhusu usalama Wa chanjo.

Kumbuka hata mababu zetu walipoletewa ustaarabu wa kujenga vyoo na kujisaidia chooni, vita vya kupinga kujisaidia chooni ilikuwa kubwa kuliko hili la wapinga chanjo.

Maana walishazowea kujisaidia vichakani.

Mimi nimechoma faizer, kina muda sasa nipo okay.

Na hakuna tatizo lolote.

Waache waendelee kupinga ,,huku wakiumwa wanakimbilia hospital kwenye dawa za kizungu

Badala ya kwenda kwa mganga wa kienyeji kutibiwa.
Naomba kujuzwa, mtu aliyeumwa korona akapona na aliyechanjwa. Je ni nani amejenga kinga zaidi kati ya hawa wawili?
 
Back
Top Bottom