#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

Sasa Mnataka Watanzania wote tuchanjwe. Je, kama Chanjo inashida kwahyo Tanzania nzima tuumwe?
Nyie wengine Chanjeni na Wengne tusichanje ili kukiwa na Shida sisi tuwape msaada.
 
Hakuna maswali yeyote, kinachosumbuwa watu kwa sasa ni utandawazi.

Hivi zile chanjo za surua, ndui, nk Nini walijadiliana na nani zikaletwa huku Africa? Au zikakubalika na wengine?

Si tumeletewa tu? Au kulikuwa na mjadala kama huu wa chanjo ya uviko?

Kuna yeyote aliyehoji usalama wa chanjo zile?
Shida inakuja hizo chanjo za surua, ndui, nk tulichoma mara moja tu. Mliochanjwa wala msiwe na shaka tunasubiri majibu kutoka kwenu baada ya miaka miwili au mitatu zen na cc ndiyo tutaamua tuchanje ama la, ni kama ndui tu na chanjo zingine kuna baadhi ya watu walizikataa lkn matokeo yake yakawa mazuri basi jamii ikazikubali, so wala msihofu na kutuona wajinga cz wasi wasi ndo akili mkuu.
 
Aisee hukusikia dalili zozote za uzombi mkuu tuambie ukweli tu
 
Tumeshasema, hatuko tayari kufanyiwa majaribio, hizi mbini uchwara hazitasaidia, ifike mahala mtuelewe jamani
Kuna msela alikuwa mbishi balaa.Zilipokuja hiz chanjo za serikali alidengua dengua.Kilichotokea sijui ila nasikia anaingia wiki ya 2 sasa bado yuko hospitali flan ya private kwenye mitambo ya hewa.Nasikia kumbe hata Bima haitumiki kutibu covid na mitungi ya gesi.

litapita bakula la kuomba msaada soon
 
Kuna msela alikuwa mbishi balaa.Zilipokuja hiz chanjo za serikali alidengua dengua.Kilichotokea sijui ila nasikia anaingia wiki ya 2 sasa bado yuko hospitali flan ya private kwenye mitambo ya hewa.Nasikia kumbe hata Bima haitumiki kutibu covid na mitungi ya gesi.

litapita bakula la kuomba msaada soon
Wanasema ukichanja bado uvae barakoa, uepuke mikusanyiko, unadhani ni kwanini?
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya covid-19 Jonson Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la Lushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupunzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa megu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na WAtu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
hapo kwenye nguvu za kiume, utatukamata wengi.
 
Mwenyewe chanjo imeningezea nguvu kupita maelezo nisiwe mnafiki
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Hutupati hata useme inaongeza nguvu za kiume
 
Nakubaliana na wewe, ndio maana inatubidi tupate chanjo ili kuepuka severe infection. Labda hukuelewa comment yangu ya awali.
Kweli aombe Mungu ndugu zake kijijini wasipate corona
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Maswali kadhaa kwako Mkuu
1.ULIPIMWA KWANZA KUJUA KAMA TAYARI UMESHA AMBUKIZWA NDIPO UKACHANJWA? AU ULICHANJWA TU ?
2. NA JE IKIWA TAYARI UNA MAAMBUKIZI UNACHANJWA AU HUCHANJWI?
3. NA JE UKICHANJWAN UKIWA TAYARI ULISHAPATA MAAMBUKIZI NINI KINATOKEA??
 
Mimi baada ya chanjo asubuhi na mapema kwenye saa 4 hivi nilikuwa poa tu nilikuja kusikia dalili kama za homa jioni kabisa,

Mwili nikawa naiusikia kama ninavyoaanza kuumwa Maleria, kichwa kizito na kuuma. Lakini nikuwa nimeshaambiwa tayari na Wataalamu wa afya kuhusu hizo side effects kwamba unaweza kupata uchovu, kuumwa na kichwa, kichefuchefu na maumivu ya viungo hiyo ni kwa sababu chanjo inakuwa unazunguka kwenye mwili kuamsha kinga zote za Mwili na kwamba unaweza jisikia hivyo ndani ya siku mbili.

Sikuwa na shaka baada siku moja tu nikawa vema sana kwakweli hata mimi niliona mabadiliko makubwa na mazuri mno. Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kila siku jioni narudi nimechoka mno now hakuna. Naona mwili wangu una nguvu zaidi ya mwanzo. Kwakweli nendeni mkachanje msiwasikilize watu wa mitandaoni humu maana hata chakushangaza nilichokiona vijana kama mimi ni wengi sana vituoni ila ukija huku nako comment za wabishi wasiotaka chanjo nazo nyingi huwenda wanabisha huku nyuma ya pazia wanaenda kuchanja.

Kwenye ukoo wetu wote mimi ndio nilkuwa wakwaza kuchanja, ndugu zangu wakaanza kuniita Zombie. Sasa hivi nao wote wanataka chanjo.
Haha, hata mimi sikumwambia ndugu yangu yeyote kama nimechanja hadi ilipopita wiki moja na kujiona niko fit sana, yaani hata concentration yangu imeongezeka sana, hata ninapoendesha gari najisikia niko focused kuliko mwanzo. Niliendesha gari Toka Arusha hadi Dar bila kuchoka Wala kuhama barabarani. Yaani siku 3 za kwanza nilijisikia viungo vyote vinaguswa na chanjo kuanzia ubongo, UTI wa mgongo, kiuno, utumbo, ini, nk. Hii chanjo Ina uwezekano wa kutibu magonjwa mengine pia bila kukusudia.
 
Sasa Mnataka Watanzania wote tuchanjwe. Je, kama Chanjo inashida kwahyo Tanzania nzima tuumwe?
Nyie wengine Chanjeni na Wengne tusichanje ili kukiwa na Shida sisi tuwape msaada.
Ukibaki hai peke yako utakuwa na faida gani?; Hapo ulipo walikuchanja machanjo kibao, hata ukichomwa na msumari utakimbilia chanjo ya tetanus, watakupata TU kama wakikukusudia
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Mama Yetu, Rais na Amri Jeshi Mkuu Mama Samia kasema kuchanja ni hiari, na yeye kasema hawezi kuleta kitu cha kuua raia wake (ingawa hapa kidogo kapotoka maana hizi dawa ni za majaribio kwa 100%).
 
Mimi ni miongoni watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais

Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi

2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi

3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi

4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi

5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi

6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana

7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi

8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana

9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.

10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua

11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.

12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.

Nadhani chanjo Iko pia, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana mwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Kwa jinsi ulivyoelezea umenishtua sana haishindikani badae kutokea side effects zingine ni Bora zikawa positive zikiwa negative je?
 
Back
Top Bottom