Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Hii comment nimetamami kulipa like tano.. umetisha Sana
 
😂😂, hii bei ya Wali sh 200 ni miaka ya 90,labda kukopesha kaanza akiwa chuo kikuu, miaka ya 2000
 
KANGOMBA[emoji16]UMENIKUMBUSHA MBALI SANA
 
Nilichogundua watu wengi humu.

1;Wanauwezo wa kusoma ,ila hawana uwezo wa kufikiria.


2;Watu wengi humu hawana uwezo wa kuchanganua mambo.


3;Watu wengi humu hawana uwezo wa kuweka kumbukumbu kutoka Aya Moja kwenda Aya nyingine.


4;Kwa kifupi jamaa ameandika vizuri sana,ila humu kumejaa mambumbu.Tukatae tukibali humu watu wamejaliwa kusoma na kuandika ila uwezo wao wa fikra ni mdogo.
 
Akiendelea naomba unitag mrembo. Maana nimescroll mwanzo mwisho, sioni kitu [emoji4][emoji4]
Sasa hivi nitakuwa nakuita ita maana cha kukupa busy hakuna story yetu imeshaisha
 
Hapana kishule shule mbona hio riba yake ni ndogo. Watoto wa mama wakiishiwa tulifaidi sana hela zao kwa riba kubwa kabsa. Enzi hizo unasema home umepasua bubsen burner inauzwa 90'000. Mshua anakupa kiroho safi. Enzi hizo tunaandaa barua za kuongeza ada au michango isio na kichwa wala miguu; ilimradi tuonekane ma Don
 
Mbona mimi nilikuwa nauza viroba na kupima konyagi shuleni na hadi namaliza hakuna mwalimu yoyote aliefahamu. Na simu tulizimiliki sana. Wanafunzi kwenye jambo lenye maslahi ya wengi watakulinda kama roho ili huduma/faraja yao isipotee. Ndio maana akasema alipotishia kusitisha biashara ya kukodisha simu kwa ajili ya porn; wanafunzi wenyewe walianza upelelezi uliopelekea mpaka kupatikana kwa simu bila ya mhusika kutumia mabavu yoyote yale. Nro hujasoma boarding nini ukaona vituko?
 
Kipindi kile mtu akipewa suspension alikuwa haendi kwao,anaishia kukaa maporini na usiku anarudi dom kulala na notice anaandika kama kawa,ikiisha anamnunua mwana nzengo wanaenda nae shule ana act ndio mzazi wake,

Ilikuwa ukianzisha ubaya na jamaa kama huyo shule utaiona chungu,bording school za zamani ilikuwa ni balaa,ukitoka huko wewe ni mwanaume tosha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…