Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

This was, and still the best
 
Oya kiutani utani unaweza kuta mdau hayupo duniani.Maisha bhana kuna mtu alidai mwana@ Keegan Paul may be he,s dead
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] daaah nyie duniani tunapita tu. Ndio maana nyuzi zao hazikuisha mpaka leo ziko vile vile hakuna mwendelezo. Nauliza kuna mwamba mmoja pia ana itwa Kitoabu huyu pia yuko wapi alikuwaga na stori kali sana alikuwa ana ni motivate sana.
 
Kitoabu mfate jukwaa la united anashinda huko
 
Kuna wadau kama wawili walikua wanatoa story za south na maisha ya kule humu humu JF walifariki.May be anaweza kua mmojawapo.
 
Kitoabu mfate jukwaa la united anashinda huko
Siku hizi hachimbi tena madini Mozambique [emoji1174] ? Huyu jamaa atakua kazama kwa kanji KUBET kama ana shinda united [emoji16][emoji24]
 
Kuna wadau kama wawili walikua wanatoa story za south na maisha ya kule humu humu JF walifariki.May be anaweza kua mmojawapo.
Daaaah aisee halafu na South Africa na sikia kufa ni suala la kawaida sana japo popote una weza kufariki lakini kwa SA, nasikia una weza ukawahishwa muda wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…