Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

SWALI; Ulimuaga Paul Makonda???
 
Daaaah aisee halafu na South Africa na sikia kufa ni suala la kawaida sana japo popote una weza kufariki lakini kwa SA, nasikia una weza ukawahishwa muda wowote.
Mdau kama umezoea maisha ya amani Tanzania.Kwa Africa Kusini utaishi kwa uoga uoga,kwa matukio either utakayaona au kuyasikia kwenye vyombo vya habari.Kule usalama ni changamoto
 
Huyu kachanganya story ya KUMBU na KANYA. Sio bure
Kumbu mtoto wa kizulu mwenye umbo mpwito mpwito hizi stori za south africa nazipenda sana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
kweli kabisa, lazima tubadili mindset.
 
Bado nipo hai mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117] kaka nilipatwa na huzuni sana, pamoja na kuwa sikufahamu kumbe upo kaka. Habari za wapi mkuu maana ni kama vile ume fufuka sija wahi kukuona kwenye jukwaa lolote humu. Pia naomba umalizie story yako kaka, story ni ya kuvuti sana .

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…