Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Kweli kabisa bosi umenena ya kweli kabisa! Hivi moderators sijui hawawaoni au na wao ni wateja wao?!
Yan huwa nashindwa kuelewa hata hawamuonei huruma boss was melo kila siku mahakamani kwasababu ya matumizi mabaya ya huu mtandao.

Sema Hawa Malaya nao wajifunze waache ujinga wao wa kuanza kujiuza kwa gia zao eti ukipata nn sijui nn Mara mwez ujao mie lazima niende kumbe wanatafuta mtu ajilengeshe pumbavu zao
 
Ifike mahali tupinge nguvu ya hawa malaya, halafu wao kitu kidogo wanatukana na kufoka

Najiuliza zaidi ya kuwa malaya wao ni mani hasa humu!!!
Kuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
 
Nakuunga mkono, nchi hii kuna upumbavu uliopitiliza
 
Kwa jinsi kwasasa watoto walivyomizigo kwa wazazi wao hata sitamani kuwa na mtoto
 
Mtoa mada mimi kama mimi hata sina muda na kujua kama ni kweli au laa

Tunakuomba umalizie tu maana kila tukija tunaona uzi unatembea kwa spidi afu tunakuta mambo ya ajabu ajabu.....
Mara huezi kuish jberg muda mrefu utashikwa ....mara ilikuaje hv ikawa vile

Kama ilikua chai basi tu ila tunasoma kupanua fikra kwa sisi ambao tumekaa mkoa huohuo miaka nenda rudi
 
Naunga mkono hoja
 
Kuna watu ni wajuaji sana, wanachokiamini wao wanataka kila mtu akiamini, waliyopitia wao wanadhani kila mtu lazima hayapitie, brother wewe shusha story iwe uwongo ama ukweli potelea pwete.
 
Oyaaaa! Umefumaniwa na kanya au niaje! Malizia ctory basi acha uzwa zwa
 

Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.

Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,

Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.

Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?

Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?

Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
 
Fungulia uzi km hutajali
 
Mkuu soma substence ya comment yangu. Pitia mara mbili tena labda utanielewa nilichoandika.
 
Pole hujapata mwanaume wa kukukunja vizuri pia hujapata mwenye tango nene pole sana dada ila ukipata mda njoo kwangu ili ukasimulie wenzio
Aiseee

Hongera sana

Nakushauri tu huwezi shindana na sehemu inayopita kichwa cha mtoto na ukasema umeikomesha...utajichosha tu.

Na ngono sio sifa brother tafuta mshiko

Zaidi ya yote mpe Yesu maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…