Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 801
- 3,143
Tabia hii mbona inasitajabisha sana, umeongea vyema pia tungane kukemeaa mambo haya binafs yanakera sanaKuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
Mimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.Kuna ma***ya wawili watatu wajuaji sana kila kitu wanajua, kila mahali wanapajua, kila kitu wanacho
Wafanye biashara zao kwa utulivu
Ha ha ha haMimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
Ww ni mmoja ya watu mlioharb huu Uzi na Dada zako hao baada ya kuanza kuwasifia ujinga kwahy mnataka muharb Uzi tuwachekee kwa kuwaogopa au ukiweka mguu tunaweka shokaMwanaume hajibishani na mwanamke zaidi ya mara moja.piga kimya kama vipi.
Na wewe unachangia kuharibu uzi kama unavyolalamikia wengine kuharibu uzi.
Tu focus kwenye point za msingi ili wengine wajifunze.
Kama hakuna point tuwe wasomaji inatosha.
Kama kujazia nyama tufanye kama anavyofanya konda msafi inasaidia kujifunza kitu.
Hizo permit za ukimbizi mbona mara kibao tu wazee wanazichana. Mfanye tukio halafu wawakute na hizo karatasi, mbona zitachanwa na kusindikizwa kwa buti la matakoni kuingia kwenye pira.
Naomba Link ya story ya kumbukonda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..
sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...
kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..
Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...
mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.
Sawa mkuu haina shida. Acha tupate utamu wa stori, kweli hayo mengine tukitaka kuyadadisi sana yanaweza kumtoa kwenye reli bwana Keagan. Ila kama itampendeza binafsi ningemuomba aelezee aliwezaje kutoka SA na kurudi tena wakati visa imeisha. Mzee Fohadi hiki ni kipengele muhimu sana. Kuwa na expired visa mbele ya immigration officer ni sawa na kulala chumba kimoja na chatu kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..
sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...
kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..
Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...
mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.
Link sijui kuweka ila fungua hili jina konda msafi then click upande wa msg utaona posts zake kibao..tafuta post yenye komenti ya 'jinsi penzi la mtoto wa kizulu durban lilivyotaka kunitoa roho' (sina uhakika kama hiyo tittle nimeiandika vizuri ila inafanana na hiyo)..Ni bonge moja la story.Naomba Link ya story ya kumbu
Sawa mkuu, wala tusibishane sana. Acha tuenjoy stori ya Keagan.Permit ikiwa siyo fake (mpango kanjanja) police hawachani mkuu,ndio maana nimekwambia inakutoa mahakamani.
Mfano umefanya kosa la kawaida ambalo lina dhamana mahakamani,moja ya masharti ya dhamana kwa foreigners ni lazima uwe na asylum permit au passport bila hivyo unaweza usitoke kwa dhamana hata kama umetimiza masharti mengine,umenisoma mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanazingua sana๐ฌ๐๐ก๐ ๐ช๐๐ง๐จ ๐ฆ๐๐๐จ๐ ๐ช๐๐ฃ๐ข๐๐! ๐ช๐๐ก๐๐๐๐๐ก๐ ๐ ๐ง๐จ ๐๐๐ญ๐ ๐ฌ๐๐๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐๐ก๐๐๐๐ ๐ง๐จ ๐๐ฆ ๐๐ ๐ช๐๐ก๐๐ ๐๐๐ฃ๐...๐๐๐ง๐ ๐๐๐๐ช๐ ๐๐ก๐๐๐ก๐๐๐๐ ๐ ๐๐ฅ๐ ๐ ๐ข๐๐ ๐๐ช๐ ๐ฆ๐๐๐จ ๐ก๐ ๐ฃ๐ข๐ ๐ง๐จ...๐๐๐ง๐ ๐๐๐๐๐ ๐จ๐ ๐๐จ๐ง๐ข๐๐จ๐๐ก๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ก๐๐ข๐ก๐ ๐ฃ๐ข๐ ๐ ๐๐๐ก๐ ๐ช๐๐ง๐จ ๐ช๐๐ก๐๐๐จ๐ ๐๐จ๐๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ก๐...๐ ๐๐ฅ๐ ๐ ๐จ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐ง๐จ๐ฆ๐ ๐๐จ๐จ
@๐๐ฒ๐ฎ๐ด๐ฎ๐ป ๐ฝ๐ฎ๐๐น
๐๐ฎ๐บ๐ฎ ๐๐ถ๐ฝ๐ถ ๐ธ๐ฎ๐๐๐ต๐ฎ ๐๐๐ถ๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ๐น๐ฒ๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ๐ป๐ฑ๐ถ๐ธ๐ฎ
Ntu nne alaf dereva nani?Hzo road trip huwa nawaza itapendeza zaidi ukiwa na hii kitu toyota coaster camping,afu ndani iwe na chumba,choo,jiko na sebure,afu mtu nne,ke mbili,me mbili,baada ya kutulia geita mnaingia rubongo mnaenda kunasa samaki na kuchoma na kushangaa tembo baada ya siku mbili mnaingia rock city tena mnaingia mida ya saa 6 mnatulia kwenye kivuli cha paa la nyasi mnamalizia wine zenu mlizochukua domu mixer spiritView attachment 1759147
Kumbe jnadharau wanawake??Mimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
No,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.Kumbe jnadharau wanawake??
Mmeku[emoji23][emoji23] leka naaveMimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
[emoji23][emoji23][emoji23] leta uzi mzee naona kijana wa Makonda kapoteaItabidi na mm niweke kisa changu apa