Diss Meddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 590
- 1,291
Uzi umechangamka hatar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauaji hayo mie hPana mie najifutika huko Dubai....
Sanduku angalao lisafirishweBora walau uzaliwe ikwiriri ukafie huko kigoma...atleast hata maiti ipate kutembea umbali mrefu...ati umezaliwa ifakara unaenda fia mikumi🤧🤧🤧..unazaliwa Iringa unafia mbalali😆😆😆! Nyooo
sanaa mkuu..nadhani kwasababu ya ile shauku ya wengi kutaka kufika south ndo mana[emoji1][emoji1]Stori za South huwa zinanoga sijui kwanini
Pamoja sana mkuu!Nisamehe Ndugu
Wako mazezeta pia
Nisamehe Ndugu
Ndo maana wanadai electronics ziko zenji had tv naskia cheap..dah...Umenikumbusha jinsi wazanzibar walivopiga pesa dubai, ilikua inaenda kununuliwa gari used dubai, mule ndani siti zinatolewa zote kama ni corola inajazwa mzigo unapangwa vizuri laptops, tv flat screen, na makorokoromengine vioo vinapigwa tinted milango inakua locked kabisa, ngoma ikifika bandarini kinacholipiwa ushuru ni ile gari bidhaa nyingine zote zile zinapita free soko la unguja likawa na vitu vya electronic kibao wapemba wakakuza mitaji then wakaona wahamie kariakoo jamaa walipiga bingo enzi zile basi tu,
Hahaaaaaa Ila nyie watu mna majunguBora walau uzaliwe ikwiriri ukafie huko kigoma...atleast hata maiti ipate kutembea umbali mrefu...ati umezaliwa ifakara unaenda fia mikumi[emoji1784][emoji1784][emoji1784]..unazaliwa Iringa unafia mbalali[emoji38][emoji38][emoji38]! Nyooo
lulu za uruTena wengi tu, ukifika boma ng’ombe upandishe kule kibong’oto nilikutana na pisi kali ajabu zinawaza kudanga na kufika mjini kuuza Bar
Bora walau uzaliwe ikwiriri ukafie huko kigoma...atleast hata maiti ipate kutembea umbali mrefu...ati umezaliwa ifakara unaenda fia mikumi[emoji1784][emoji1784][emoji1784]..unazaliwa Iringa unafia mbalali[emoji38][emoji38][emoji38]! Nyooo
Hahahhahahahaa nimecheka hadi kupaliwa jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Walau ka historia ya marehemu iwe ndefu...mwaka 2021 marehemu wangari alienda Ujerumani kibiashara had mauti yalipomkuta😊😊! Walau basi ionekane ulipambana🤧Unakuta mtu anawaza minada ya chita, Lupilo, mgeta, itete, idete, kikurukutu, mavimba, na namawala anarudi mjini ifakara akishaingia kampala akila nyama choma na bia maisha kwisha maisha haya balaa sana
Kazi ipi mkuu?konda msafi kazi hii tuishi nayo au vp kaka [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Alafu Wangari Maathai mbona ifakara sana kulikoni?Bora walau uzaliwe ikwiriri ukafie huko kigoma...atleast hata maiti ipate kutembea umbali mrefu...ati umezaliwa ifakara unaenda fia mikumi🤧🤧🤧..unazaliwa Iringa unafia mbalali😆😆😆! Nyooo
😅😅😅 wazazi walipostaafu wakajenga huko...sijapazoea badoAlafu Wangari Maathai mbona ifakara sana kulikoni?
Ooooh nakujua vizuri sana huko, ni nyumbani😅😅😅 wazazi walipostaafu wakajenga huko...sijapazoea bad