SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,041
- 3,119
Malizia kitu mkuuBado nipo hai mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia kitu mkuuBado nipo hai mkuu
Duuuh tulijua umerudi huko na umezingua wazulu,basi wamekurostisha kama AKAMkuu bado nipo hai
Karibu umalizie uzi msomiAhaa mzee bado nipo hai kaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117] kaka nilipatwa na huzuni sana, pamoja na kuwa sikufahamu kumbe upo kaka. Habari za wapi mkuu maana ni kama vile ume fufuka sija wahi kukuona kwenye jukwaa lolote humu. Pia naomba umalizie story yako kaka, story ni ya kuvuti sana .
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Fanya hivyo bwn tunesubiri sana [emoji28]Nipo Mkuu nitarudi tumalizie nilipoishia
Malizia kisa basi bro, watu tumeweka notification kitambo sana tuisubiri uendelee kutitirika!Mkuu bado nipo hai
Mkuu tumesubiri sana, ila naamini ukiwa free utatukumbuka ndugu zakoNipo Mkuu nitarudi tumalizie nilipoishia
OkNasubiri
Nakushauri hii stori uiuze. Wataalamu wa mifumo wakusaidie kutengeneza namna mtu anavyoweza kuisoma kwa kulipia japo elfu 3 hivi kwa Tigopesa au mpesa au mtandao wowote. Wakisoma watu 2000 ni milioni 6. Hapo hautapata uvivu wa kuimalizia.Nipo Mkuu nitarudi tumalizie nilipoishia
Nakushauri hii stori uiuze. Wataalamu wa mifumo wakusaidie kutengeneza namna mtu anavyoweza kuisoma kwa kulipia japo elfu 3 hivi kwa Tigopesa au mpesa au mtandao wowote. Wakisoma watu 2000 ni milioni 6. Hapo hautapata uvivu wa kuimalizia.
Poa poa. Hizi stori za safari za South Africa huwa zinasisimua sana. Kuna mshikaji wangu yeye alishazamiaga mara 3. Alinisumulia masaa 6 nikisikiliza sikutaka hata apumzike. Muwe mnaandika vijitabu basi msitukatishekatishe bana.Nimepokea ushauri mkuu
Naomba details za hii biashara inbox ndugu, kama hutajali sana. Natamani sana kuifanya
Hapana bro. Kimya mpaka leoIdimi vip mkuu jamaa aliweza kukupa detail za hiyo biashara