Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

"Your enemy's enemy is automatically your best friend"


🙇
 
Mtoa mada umeshawahi kusimama mahakamani kweli wewe?, eti Hakimu akakuplease mbona huwa sio taratibu kwa kauli zako hapo mahakamani na utovu wa kutii mahakama ungefungwa japo wiki mbili, sijui kama kweli unaifahamu korti wewe.
Simaanishi napinga kisa chako hapana ispokuwa umeongeza ujasiri ambao haupo hasa kwenye mahakama zetu.
 
Huwa nachukia sana napoona et "itaendelea"
Yaani hovyo kabisa
Watu wengine uwa mnawalazimisha watu kuwatukana na kututaka tuonekane watovu,hivi umesoma hadi kikomo cha post za mbele? Jiheshimu na usinifananishe na hao mie watofauti sana tena ukitaka kujua robo tu ya nilivyo soma hii thread kwa kituo utanijua kiasi,usinilinganishe na wengine ndugu! Jiheshimu kama mimi nilivyowaheshimu wasomaji wangu!
 
Mwamba Hauna mbambambaa kabisa!
safi sana👍
 
Sawa sawa
 
Hahahaaa...mnanitamanisha kujuaaa ya mbelee lol Ngoja niendelee niwafikie
Komaa kwani mie nimekomaa kuiandika leo tu tena kwa kutumia simu nilikuwa naandika napost whatsapp,naandika napost uko hadi nilipopata 4 ndio nikawa napost moja moja
 
Haya mambo ya viwanja nishawahi kutaka kumuua mtu tena ni dalali mmoja fala hivi alikua mshikaji wangu tena mkurya ila nilichomfanya hatokaa asahau hadi siku anazikwa!!
Mwaga thread watu wapate elimu
 
Hakuna ku waste time Mambo ni mengi ausio!! Safiii hio[emoji106]
Jamaa hadi aliwaelezea wadau wake kule kuwa dah sijawahi kuwa na pambano gumu kama la yule jamaa,nimepiga misumari wee wapi kumbe hajui UCHAWI HAUENDI KWA MENTALI! kuna siku mahakamani alitaka kunichota nyayo mchangani nikamwita nikakanyaga,nikamchotea mchanga nikampa,akawa ananitizama tu MAE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…