Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Daah! Story nzuri sana
 
Jasiri haachi asili,,Wakurya wa kivule na madalali wao ni jau sana
 
Muda wa kesi tukaitwa na alipoulizwa alipokuwepo akadai alikuwa anaumwa nikanyoosha mkono naomba kupata vielelezo vya hospitali akasema alipelekwa kwa mganga! Dah dunia hii nyie acheni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sema Mkuu ungekuwa na muda huyo hakimu ungeendelea kumtisha na ungeendelea kumdhalilisha mjinga sana .
Hivyo vitisho pekee havitoshi.
 
Nilivyoisoma hii story nimeona wewe ndio ulikomeshwa na nina uhakika urudii tena kuingia kichwa kichwa kununua kiwanja bila kujiridhisha mmiliki halali.
 
Hapo yenyewe tu amshukuru yule mwanangu wa Singida
 
Nilivyoisoma hii story nimeona wewe ndio ulikomeshwa na nina uhakika urudii tena kuingia kichwa kichwa kununua kiwanja bila kujiridhisha mmiliki halali.
Sina tusi la kukupa ninachokujibu ni "haya"
 
Geti la kuingilia UVIKIUTA lipo Chamazi maalufu UVIKIUTA.

Ila eneo lao linaanzia Chamazi pembeni ya mto wa maji ya chai mpaka Kivule huko.

Maofisi Yao na kila kitu Chao wamewekeza chamazi na Hostel.
 
Kama hujawahi kununua kiwanja, utaona kila aliyetapeliwa ni mjinga
Issue sio kumuona mjinga ila nashangaa anaposema alimkomesha huyo tapeli wakati yeye ndio kaangaishwa hadi kuja kuipata hela yake jasho limemtoka ndio maana naona yeye ndio kakomeshwa.
 
Sina tusi la kukupa ninachokujibu ni "haya"
Na ungetukana wala nisingekuacha bila kukutukana maana sioni kwanini utukane au kwakuwa ulivyoona wewe imekuwa tofauti na mimi! au ungependa kila mtu anayesoma hii riwaya yako akusifu! Ni lazima uwe mvumilivu pale mtu mwingine anapokuwa na fikra tofauti na zako.
Narudia tena jamaa amejua kukukomesha maana kukomeshwa ni kule kufanywa kutorudia tena jambo ulilolifanya na likakuletea matatizo kwahiyo utajitahidi kuepukana nalo lisijirudie tena, lakini nina uhakika huyo tapeli tabia yake haikuishia kwako itakuwa aliendelea na michezo yake,sasa je umemkomeshaje?
 
Geti la kuingilia UVIKIUTA lipo Chamazi maalufu UVIKIUTA.

Ila eneo lao linaanzia Chamazi pembeni ya mto wa maji ya chai mpaka Kivule huko.

Maofisi Yao na kila kitu Chao wamewekeza chamazi na Hostel.
Duh unajua nilikuwa najiuliza hawa UVIKIUTA wana maeneo mengi? Kumbe ni eneo moja ambalo limetapakaa hadi kule? Basi eneo lao ni kubwa sana na wasipoliwekea uzio litaleta migogoro mingi ya ardhi
 
Issue sio kumuona mjinga ila nashangaa anaposema alimkomesha huyo tapeli wakati yeye ndio kaangaishwa hadi kuja kuipata hela yake jasho limemtoka ndio maana naona yeye ndio kakomeshwa.
Sawa bwana Sanze nimekubali nimekomeshwa
 
Mimi ni wajibu wangu kuendelea kumfata kujua kama aliacha au aliendelea? Je haya maandishi yanatakiwa yaishie katika burudani ya kusomwa tu? Je wajibu wa fanani kwa hadhira yake ni nini? Inawezekana bwana Sanze wewe haujapata somo katika mkasa husika ila natumai kuna nufaiko kubwa limepatikana kupitia mkasa huu iwe hasi au chanya
 
Nisaidie ndugu yangu maana hata sijui lakumjibu
Kuna jamaa mmoja alikuwa anajiona mjanja sana wa kununua viwanja na wanaotapeliwa ni wajinga na hawajui kufanya uchunguzi.

Siku moja akataka kununua kiwanja kilichopimwa.

===

Kuna Mzee mmoja alikuwa anauza eneo lake zuri tu, milioni 24 wakaongea sana na manunuzi wakakubaliana aliuze kwa Tsh 20M.

Sasa baada ya makubaliano, kabla yule mnunuzi hajatoa pesa muuzaji akamwomba jamaa kuwa kwenye masuala ya mikataba, waandike milioni 8 ili wapunguze kiwango Cha malipo kwa mwanasheria na serikali za mitaa.

Mnunuzi akakubali.

Baaada ya manunuzi, akajitokeza mke wa muuza kiwanja anadai Mume wake kauza kiwanja bila kumshirikisha ( kumbe ni mchongo 😂).

Baada ya kupelekana kwenye vyombo vya sheria, ikaamuliwa mnunuzi arudishiwe pesa yake maana kiwanja tayari kina mgogoro.

Pesa ya manunuzi iliyoandikwa kwenye mkataba ni milioni 8 na mnunuzi jamaa alitoa milioni 20.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…