Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nimeshanunua viwanja sehemu mbalimbali, kwa umakini wangu sijawahi kupigwa, ispokuwa boko basihaya, ndipo kidogo waliniletea ushoga, baada ya kuona polisi wananiletea mbovu, nikawasilisha Takukuru, hawa ndio waliniokoa, weka ndani wezi sugu na kichapo juu, mpaka wakasarenda, wakalainika, mbaya walishatengeneza Hati, lakini wakachemsha watakubali yaishe, masuala ya ardhi ukilainika kidogo tu, umekwisha mazima.
Jeshi!
 
Back
Top Bottom