Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nawajua kabisa na uwezo wa kulipa wanao.

Bibi mmmoja ( huyu nilikusanya wananzengo, nikaweka mtego alipigwa nusura auawe, baadaye akapelekwa polisi, kwasasa alifungwa mwaka mmoja. Anakaribia kutoka.

Mwingine alikubali kulipa, amelipa nusu nyingine mpaka Sasa anasumbua.

Aliyekuwa anajufanya Mwenyekiti akiwa na mihuri bandia yeye hajakamatwa maana baada ya kumkamata huyo jamaa nilikuja kugundua ni team yenye mtandao mkubwa sana na kazi yao ya utapeli ndio hiyo.

Imagine, wakati Mimi napambana nao nilikuta kuja jamaa wamempiga milioni 27 alinunua viwanja 3 ajenge shule.

Kesi za wizi wa magari wanazo.za kutosha yaani unamwazima gari Kama mshkaji akilata mteja anauza tu kama la kwake.
Aisee pole sana pole sana ndugu.
Maisha ya Dar yana songombingo nyingi sana.

ungekua na imani na mitishamba ningekuelekeza mahali flani Geita ukarekebishe mambo
 
Nadhanj hujakutana na watu washenzi tena ukienda kununua viwanja sehemu bado watu hawajaanza kujenga jenga wanaweka na kiofisi ushenzi na bendera ya taifa na mihuri kumbe wote jopo la matapeli
Kweli matapeli wapo wengi ila unaongeza risk kwa kusainia saiti na mihuri hapo hapo.

Sainisha mikataba kwenye ofisi inayoeleweka ya mtendani nk itakusaidia hata ukiwa na kesi....
 
Kweli matapeli wapo wengi ila unaongeza risk kwa kusainia saiti na mihuri hapo hapo.

Sainisha mikataba kwenye ofisi inayoeleweka ya mtendani nk itakusaidia hata ukiwa na kesi....
Ndo hizo ofisi wanakuambia za mtendaji kumbe matapeli, kule mapinga ndani wanaita kielege sikumbuki vizur ilitutokea sema kuna jamaa akatusbtua kabla ya malipo ila ilikua ni kwenda kulizwaa na ofisi za mtanaji tumeenda kumbe ni magumashi
 
Na ukae kwa kutulia ivoivooo kwani akili zako unazijua mwenyewe 😎!
Sister mawigi Antonnia Hapa nilialikwa sehemu, nikaamaua kukinukisha
Screenshot_20230222-165400_1.jpg
 
Back
Top Bottom