Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana
Upo huku mkuuKichaa ake Intelligent businessman nakuquote inagoma ushaanza ulozi wako wa kisukuma??
Mbona Baby na Baby mkubwa hahahaaaa! Asante nishatia timuu !
Aisee pole sana pole sana ndugu.Nawajua kabisa na uwezo wa kulipa wanao.
Bibi mmmoja ( huyu nilikusanya wananzengo, nikaweka mtego alipigwa nusura auawe, baadaye akapelekwa polisi, kwasasa alifungwa mwaka mmoja. Anakaribia kutoka.
Mwingine alikubali kulipa, amelipa nusu nyingine mpaka Sasa anasumbua.
Aliyekuwa anajufanya Mwenyekiti akiwa na mihuri bandia yeye hajakamatwa maana baada ya kumkamata huyo jamaa nilikuja kugundua ni team yenye mtandao mkubwa sana na kazi yao ya utapeli ndio hiyo.
Imagine, wakati Mimi napambana nao nilikuta kuja jamaa wamempiga milioni 27 alinunua viwanja 3 ajenge shule.
Kesi za wizi wa magari wanazo.za kutosha yaani unamwazima gari Kama mshkaji akilata mteja anauza tu kama la kwake.
Sijaanza bado, maana Cha ukorofiii Lovelovie kanikataza. AntonniaKichaa ake Intelligent businessman nakuquote inagoma ushaanza ulozi wako wa kisukuma??
Nipo mkuu hekaheka za maisha ni nyingi sanaa!! Acha tujifunze rafiki!Upo huku mkuu
Na ukae kwa kutulia ivoivooo kwani akili zako unazijua mwenyewe 😎!
Kweli matapeli wapo wengi ila unaongeza risk kwa kusainia saiti na mihuri hapo hapo.Nadhanj hujakutana na watu washenzi tena ukienda kununua viwanja sehemu bado watu hawajaanza kujenga jenga wanaweka na kiofisi ushenzi na bendera ya taifa na mihuri kumbe wote jopo la matapeli
Mwamba kajitahidi kimtindoNipo mkuu hekaheka za maisha ni nyingi sanaa!! Acha tujifunze rafiki!
Ndo hizo ofisi wanakuambia za mtendaji kumbe matapeli, kule mapinga ndani wanaita kielege sikumbuki vizur ilitutokea sema kuna jamaa akatusbtua kabla ya malipo ila ilikua ni kwenda kulizwaa na ofisi za mtanaji tumeenda kumbe ni magumashiKweli matapeli wapo wengi ila unaongeza risk kwa kusainia saiti na mihuri hapo hapo.
Sainisha mikataba kwenye ofisi inayoeleweka ya mtendani nk itakusaidia hata ukiwa na kesi....
Fanya mchakato tuongee mawili ma3. Go through my treads, there is a #Mbona Baby na Baby mkubwa hahahaaaa! Asante nishatia timuu !
Nirefushe nini ndugu?Refusha kidogo jombaa
Sio kunguni sema nembo ya Empiliar,unaijua nembo ya Empiliar? Ile sabuni ambayo nembo yake hadi sabuni inaishia😂😂😂Yani we ungekuwa mdudu basi ungekuwa KUNGUNI mwana unang'ang'ania mpaka basi 😂😂
Sister mawigi Antonnia Hapa nilialikwa sehemu, nikaamaua kukinukishaNa ukae kwa kutulia ivoivooo kwani akili zako unazijua mwenyewe 😎!
Pesa ishafanya yakufanya toka 2015 uko na maisha yashasonga hv nakula upepo wa Bonyokwa!Safi kabisa umenifurahisha vile unajiamini kuisaka haki yako .
Vipi sasa hatunywi hata kabapa ka konyagi wakwetu ?