Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijawahHivi serious kabisa ulishawahi muona shetani?
Katumba kwa walima chai kuna waganga siku hizi, namjua KIPAKAPAKA alikuwepo kiwira miaka hiyo back in 90sMkuu we tulia, nilienda mpaka kwa mganga sehemu moja inaitwa Katumba, acha tu.
Nita kutagg.
Kwenye maandishi na hivi nipo nyuma ya keyboard ni burudan sasa njoo ana kwa ana hata neno 1 sitoi labda niwe nimekuzoea sanaNawewe umo, Mbona unaonekana kama mjanja mjanja wewe 🤔.
Mishe nyingi chafu zina baraka zao 😀😀😀, jaribu kuuza bangi utashangaa walijua lini utawakuta haoo mlangoni wanakungojaNi rahisi sana kwa kuwa polisi Usalama nao wamo huko huko kwenye hizo mishe.
"In order to be a good intelligence personnel you must think like a good crook"
hata uje na alizotumia babu wa babu yako hunipatiKameshtuka 😆😆.
Ntakuja na nyngne, hyo hajawahigi chomoka mtu.
Kile kiwanda cha chai bado kipo..?, nilipata pisi moja ya kinyakyusa mitaa hiyoSikuhizi pamechangamka sana wamekimbilia ndani ndani huko.
aaaweeee dhubutuUnaanza kuvuta vuta majani 🤣.
Yaani mimi ndio nawapenda nyinyi, ila sijawahi bahatika.
Yaah namuelewa sana NoncChalant 🤣.