Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Msimuliaji wa ajabu sana. Kasimulia story yake ukurasa wa kwanza halafu kaanza kujibu komenti zote za members hadi ukurasa wa 12.Ngoja tuone.😎
Hapo anavuta kasi/anajipanga kuja kuimalizia simulizi yake! Point nyingine atazipatia humuhumu kutokana na comments zenu, wadau wa simulizi.
 
Hatukulazimishi, ila umekosea sana, yamepita masaa zaidi ya nane tangu upost sehemu ya mwisho.

Muda wote ni kujibu na kujisifia bora ungepotea kidogo, kama mtoto wa kike una mtaka kwa kujisifia wewe bado limbukeni na mshamba. Atakaye jaa kwako bado ni mshamba kama wewe.
 
Back
Top Bottom