Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi comments zingekuwa ndio story🤔Kameshtuka 😆😆.
Ntakuja na nyngne, hyo hajawahigi chomoka mtu.
sijui kwa kweli! hayo ni mawazo ya watu wasiojua ukweli wa mambo!Hao watu wanaishi vizuri kwani!??
Hivi serious kabisa ulishawahi muona shetani?Sawa lakini ndio jamii hiyo hiyo
Kwann umeamua kutumia picha yake je unaushirika nacho
Mkuu hii kitu ya kuogopwa ni kweli, haswa kwa wasiotujua kabisa.hapana sio mtu wa vurugu ni mkimya sana..hata katika uongeaji wangu ni wa kihekima sana na taratibu, Sipendi sehem zenye kelele na msongamano yaani mtu akinipeleka kariakoo ndani ya nusu saa huwa nataka niondoke hilo eneo maana linaniumiza.
Ila ni mtu ninayependa mambo ya kanisani/Ibada, Kelele za kanisani haziniumizi na moyo wangu unakua na amani.
Situmii kilevi chochote kile! starehe yangu ni good music ( Old is Gold music mifano ile mizik za kina Chaka khan, bill ocean( Carribean queens), Laura bargain( in the night no control, Cool & gang, and the like! Pia napenda hip hop pia, MOVIES, e.tc), Chakula kizuri, Beaches, Napenda Nature, Napenda kusafiri sana..e.tc
Watu wanadhani mimi ni mtu wa system maana hawaijui hata kazi yangu ila wanaona naishi vizuri tu.
Nimeshalivagaa jukwaa kwa pupa mkuu.Mkuu..... Tutie timu
Bro umeendleza stori yako hii au bado maaan natafuta mwendlezo wake ?Kama una njaa, Itachemka tu 🤣.
Watu wa mbeya wanajifanyaga hip hop sana
Kwa Magauni?Mkuu we tulia, nilienda mpaka kwa mganga sehemu moja inaitwa Katumba, acha tu.
Nita kutagg.
Mule mule yaani... 👊🏾hata mimi ninayo hiyo daah hadi mtu awe rafiki yangu ni shuguli sana. Ni mtu ninayependa na ku enjoy kukaa peke yangu.. Mpaka huku kitaa ninapokaa wananiogopa.
Ila ni mtu damu zikiendana ni mwongeaji na mchekeshakaji mzuri sana.