Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

hapana sio mtu wa vurugu ni mkimya sana..hata katika uongeaji wangu ni wa kihekima sana na taratibu, Sipendi sehem zenye kelele na msongamano yaani mtu akinipeleka kariakoo ndani ya nusu saa huwa nataka niondoke hilo eneo maana linaniumiza.
Ila ni mtu ninayependa mambo ya kanisani/Ibada, Kelele za kanisani haziniumizi na moyo wangu unakua na amani.
Situmii kilevi chochote kile! starehe yangu ni good music ( Old is Gold music mifano ile mizik za kina Chaka khan, bill ocean( Carribean queens), Laura bargain( in the night no control, Cool & gang, and the like! Pia napenda hip hop pia, MOVIES, e.tc), Chakula kizuri, Beaches, Napenda Nature, Napenda kusafiri sana..e.tc

Watu wanadhani mimi ni mtu wa system maana hawaijui hata kazi yangu ila wanaona naishi vizuri tu.
Mkuu hii kitu ya kuogopwa ni kweli, haswa kwa wasiotujua kabisa.

Japo Wanaonijua wananikubali sana, mimi ni mtu mmoja fair sana ila isivukwe
mipaka.


Kwenye kuogopwa mimi pia nikikutana na mtu asiyenijua kabisa hua nahisi kama aniogopa vile ila sina uhakika, wengine wananiulizaga "Wewe ni Askari".


Japo Sometimes hua natengeneza mazingira ya kuogopwa mimi mwenyewe, mfano nikiwaga Arusha hizi ndio code zangu, wadudu wa stand hua hawanisumbui.
41e9a81157e4f88c2422db14831c8363~2.jpg

Ila ndiyo siwezi kukaa kwenye vijiwe vya draft, pooltables, bar, masokoni, Sijawahi hudhuria sherehe yeyote, hua naruka.

Muziki mkubwa sana hua unanipa kipanda uso, halafu hua siwi comfortable nikizungukwa na wengi, Energy inakua drowned.

Nilipokua shuleni sikua mzuri sana kwenye kazi za vikundi kuliko zile za kufanya binafsi nikiwa pekee yangu.

Nimeshawahi kukaa shambani miezi mitatu pekee yangu, mimi ni kazi, Zoezi, Meditation na vitabu tu.
 
Back
Top Bottom