Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Ni rahisi sana kwa kuwa polisi Usalama nao wamo huko huko kwenye hizo mishe.
"In order to be a good intelligence personnel you must think like a good crook"
Mishe nyingi chafu zina baraka zao 😀😀😀, jaribu kuuza bangi utashangaa walijua lini utawakuta haoo mlangoni wanakungoja
 
Kwenye maandishi na hivi nipo nyuma ya keyboard ni burudan sasa njoo ana kwa ana hata neno 1 sitoi labda niwe nimekuzoea sana
Unaanza kuvuta vuta majani 🤣.

Yaani mimi ndio nawapenda nyinyi, ila sijawahi bahatika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…