Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa yule mtoto alichoma au alinasa kwenye ulimbo.. sema we jamaa miyeyusho sanaSawa ila niamini bro hicho kisa ni cha ukweli kabisa
Oyaa vp yule mtoto alichoma auSawa ila niamini bro hicho kisa ni cha ukweli kabisa
Yupi broOyaa vp yule mtoto alichoma au
Kujiamini kupitiliza (over confidence), kuna mnyakyusa ni mwanangu, yule jamaa ana mwili kama senene/panzi na bonge la bezi, mkiwa bar likianzishwa vagi humkosi.Story nzuri, nimeipenda...tatizo huwa haziishi, mnazikimbia.
Hivi kwa nini watu wa Mbeya ni wakatili, katika matukio ya kijambazi huwezi kukosa "a man from Mbozi/Mbeya"
hapana sio mtu wa vurugu ni mkimya sana..hata katika uongeaji wangu ni wa kihekima sana na taratibu, Sipendi sehem zenye kelele na msongamano yaani mtu akinipeleka kariakoo ndani ya nusu saa huwa nataka niondoke hilo eneo maana linaniumiza.Kwenye kuogoopwa hapo 🤔🤔🤔, Au unawapigaga?
Unatoa vipi upwiru mwaisa??Slow down, Slow down.
Mimi na pisi, Paka na Panya 🤣🤣.
I'll quote you mkuu.
Home boy una-fail wapi, ama upo Igawa nini?Kwenye chambi za kutosha, weka kambi.
Nitaku tagg.
Hao watu wanaishi vizuri kwani!??Watu wanadhani mimi ni mtu wa system maana hawaijui hata kazi yangu ila wanaona naishi vizuri tu.