Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
😂😂Acha ajaribu bahatisasa ndio nini hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Acha ajaribu bahatisasa ndio nini hiyo
Hatari sana mkuu, hawa vijana wa sikuhizi ni soft soft sana, Boxer15 za nini.Nilikuwa na chupi imeandikwa MARADONA NA TMK WANAUME Daah Atari sana na nilikuwa nazifua usiku tu Tena baada siku3 au zaidi na siwazi kabisa.
Leo mwanaume ana boxer 15 na Kila siku ana badirisha asipobadirisha fungus haikwepi
Hii ni kweli zamani kutupa chupi jhadi itoboke more than 3 matobos na yawe makubwa hizi boxer wife asipokuwa makini kuni nyang'anya kuwa hiyo jana umeivaa vaa zile pale basi itarudiwa na akitoka anakutuka nimetimia mbili ama tatu na siwazi kituHatari sana mkuu, hawa vijana wa sikuhizi ni soft soft sana, Boxer15 za nini.
Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia hizi boxer za siku hizi ni fake mno, Yaani amenunua boxer hata miaka mi4 haijamaliza imeshatoboka 🤣🤣.
🤣🤣Tuletee chai ya moto basi tusomeAfadhali my, maana nilishaanza kuandika wosia 😍
Relax😍Afadhali my, maana nilishaanza kuandika wosia 😍
Ila lazima kuwepo na matukio ya kikatili, picha lisipoe kama ile Bed impelment - 1987 kuna mshkaji alikua na hatari, alimkata jamaa mikono na miguu, akamuingiza kwenye mashine ya kukamulia juice za viwandani, Halafu ile juice ya damu jamaa akapikia, zilikua Tambi zile nafikiri 🤣.Ushakua Mwanangu wa damu jembe.. i love honesty people.
One time tuchekiane tutengeneze script ya Muvi kali as a hobby tuuze for fun
Hiyo story ukiicheki inawaza_compite kwenye Netflix 🤣😂😂Acha ajaribu bahati
Asili haipotei mkuu 😆Hii ni kweli zamani kutupa chupi jhadi itoboke more than 3 matobos na yawe makubwa hizi boxer wife asipokuwa makini kuni nyang'anya kuwa hiyo jana umeivaa vaa zile pale basi itarudiwa na akitoka anakutuka nimetimia mbili ama tatu na siwazi kitu
Wastage of time 😃🤣🤣Tuletee chai ya moto basi tusome
DuhHiyo story ukiicheki inawaza_compite kwenye Netflix 🤣
Ndo ukweli. mimi asipochoma moto boxer zilizotumika sana basi hadi itoboke na kama haitoshi naenda nayo kwenye kazi za shamba mbele panakuwa nyuma na nyuma panakuwa mbele maana huwa zinachanika makalioni wakati chupi ilikuwa inatoboka mbeleAsili haipotei mkuu 😆
au unasemaje..?
Sina neno😂au unasemaje..?
Hahaha, hiyo ni kali sana! Kweli hiyo boxer imepitia mengi mpaka ina historia yake! Inaonekana ni ya "kazi za dharura na maajabu," maana unapogeuza mbele kuwa nyuma na bado inasimama imara, hapo inahitaji pongezi! 😂Ndo ukweli. mimi asipochoma moto boxer zilizotumika sana basi hadi itoboke na kama haitoshi naenda nayo kwenye kazi za shamba mbele panakuwa nyuma na nyuma panakuwa mbele maana huwa zinachanika makalioni wakati chupi ilikuwa inatoboka mbele
🤣🤣Unataka kugusa moto utakaokuunguza wewe ibnHii ya sasa hivi ntaangalia namna ya kuingizia blood commitment.
So you like thrillers aah!!😃Ila lazima kuwepo na matukio ya kikatili, picha lisipoe kama ile Bed impelment - 1987 kuna mshkaji alikua na hatari, alimkata jamaa mikono na miguu, akamuingiza kwenye mashine ya kukamulia juice za viwandani, Halafu ile juice ya damu jamaa akapikia, zilikua Tambi zile nafikiri 🤣
SwadaktaSina neno😂