Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Nilivyonusurika kufa: Niliingia na kujinasua katika kundi hatari la uhalifu

Nilikuwa na chupi imeandikwa MARADONA NA TMK WANAUME Daah Atari sana na nilikuwa nazifua usiku tu Tena baada siku3 au zaidi na siwazi kabisa.

Leo mwanaume ana boxer 15 na Kila siku ana badirisha asipobadirisha fungus haikwepi
Hatari sana mkuu, hawa vijana wa sikuhizi ni soft soft sana, Boxer15 za nini.

Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia hizi boxer za siku hizi ni fake mno, Yaani amenunua boxer hata miaka mi4 haijamaliza imeshatoboka 🤣🤣.
 
Hatari sana mkuu, hawa vijana wa sikuhizi ni soft soft sana, Boxer15 za nini.

Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia hizi boxer za siku hizi ni fake mno, Yaani amenunua boxer hata miaka mi4 haijamaliza imeshatoboka 🤣🤣.
Hii ni kweli zamani kutupa chupi jhadi itoboke more than 3 matobos na yawe makubwa hizi boxer wife asipokuwa makini kuni nyang'anya kuwa hiyo jana umeivaa vaa zile pale basi itarudiwa na akitoka anakutuka nimetimia mbili ama tatu na siwazi kitu
 
Ushakua Mwanangu wa damu jembe.. i love honesty people.
One time tuchekiane tutengeneze script ya Muvi kali as a hobby tuuze for fun
Ila lazima kuwepo na matukio ya kikatili, picha lisipoe kama ile Bed impelment - 1987 kuna mshkaji alikua na hatari, alimkata jamaa mikono na miguu, akamuingiza kwenye mashine ya kukamulia juice za viwandani, Halafu ile juice ya damu jamaa akapikia, zilikua Tambi zile nafikiri 🤣.
 
Asili haipotei mkuu 😆
Ndo ukweli. mimi asipochoma moto boxer zilizotumika sana basi hadi itoboke na kama haitoshi naenda nayo kwenye kazi za shamba mbele panakuwa nyuma na nyuma panakuwa mbele maana huwa zinachanika makalioni wakati chupi ilikuwa inatoboka mbele
 
Ndo ukweli. mimi asipochoma moto boxer zilizotumika sana basi hadi itoboke na kama haitoshi naenda nayo kwenye kazi za shamba mbele panakuwa nyuma na nyuma panakuwa mbele maana huwa zinachanika makalioni wakati chupi ilikuwa inatoboka mbele
Hahaha, hiyo ni kali sana! Kweli hiyo boxer imepitia mengi mpaka ina historia yake! Inaonekana ni ya "kazi za dharura na maajabu," maana unapogeuza mbele kuwa nyuma na bado inasimama imara, hapo inahitaji pongezi! 😂


"Boxer yako kama unaigeuza na hushtuki bhasi sio ya kawaida, ni 'legendary,' inastahili nafasi yake kwenye kumbukumbu za taifa!" 😆
 
Ila lazima kuwepo na matukio ya kikatili, picha lisipoe kama ile Bed impelment - 1987 kuna mshkaji alikua na hatari, alimkata jamaa mikono na miguu, akamuingiza kwenye mashine ya kukamulia juice za viwandani, Halafu ile juice ya damu jamaa akapikia, zilikua Tambi zile nafikiri 🤣
So you like thrillers aah!!😃
Mind you, the "romance" side is mine
Yaan inakua script moja hivi matata kama "Spartacus Gods of Arena" au ile "Hellriser" ya yule mwamba mwenye iligongelewa dread za misumali kwenye kichwa plus another guy alikutana na female demons zikawa zinampapasa ndani ya ngozi akapata msisimko hadi akafa..
 
Back
Top Bottom