Nilivyotapeliwa Tsh 500,000 na wanaoagiza bidhaa kutoka China

Nilivyotapeliwa Tsh 500,000 na wanaoagiza bidhaa kutoka China

Ila mimi naonaga bora kuagiza kupitia aliexpress au alibaba kama mzigo ni mkubwa unamwambia muuzaji akupelekee kwa silent ocean guangzhou biashara imeisha hapo...
 
huyu dada nimempigia nikajifanya askar kajielezea mambo mengi sana alaf ni bint mdogo miaka 22

ila kazi ya uhakim ni ngum sana yan ukimsikiliza unaeza muona km muungwana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuweni makini na haya magroup hasa ya whatssap yameishawagharimu wengi. Mengi ni ya kitapeli.
 
Katika harakati zangu za kutafuta maisha.

Kuna jamaa flani akanipa mchongo wa kuagiza mzigo China akaniambia ila niwe na uvumilivu.

Kijana nikajikusanya kila kitu nikafuatilia nikaunganishwa na tapeli mmoja mwanamke alikuwa na ofisi feki Kigamboni.

Alikuwa na acount Instagram Login • Instagram anapost vitu anavyoagiza na alikuwa na group la WhatsApp nikaunganishwa nikatoa oda yangu.

Nikathibitisha muamala nikasubiri mzigo ufike sasa.

Mwezi 1 ukapita, wa 2 wa sita nikashtuka kwenye group niko peke yangu.

Instagram kashafuta picha zote akabadilisha biashara.

Namba yake ni +255 689 652 136, Jina Pendo Minja

Na wasaidizi wake ni 0699 696 598 Salma 0764 643560 Chomba

Sasa hawa mchezo wao ni kutengeneza groups za kuagiza mizigo China, then wanakusanya hela za watu halafu wanavunja group.

Bahati mbaya niko mkoani sikuweza kufatilia zaidi.

Ila nimeona magroup yao sehemu nyingine wanachangisha watu huku wakiwadanganya na picha za bidhaa.

Huu umeshakuwa mchezo wao kuweni makini na hao watu.

Nb. nina ushahidi wa kila kitu

View attachment 2128502View attachment 2128524
Pole sana hii michezo ipo sana
 
KWa huo mwandiko hata hujashtuka?
 
huyu dada nimempigia nikajifanya askar kajielezea mambo mengi sana alaf ni bint mdogo miaka 22

ila kazi ya uhakim ni ngum sana yan ukimsikiliza unaeza muona km muungwana
Umeshachukua mshiko tayari
 
Pole.
Mtu aumjui kwa namna yeyote ile unamtumiaje hela tena nyingi kiasi icho.
 
Yaani huwezi amini kuna mmoja yupo tabata anauza meza kwa 85,000 wakati zile bei ya kawaida tu umepata kwa 500,000
 
Siku zote tunatafuta hela ili tuzitoe kwa wengine haijalishi utatoa kwa njia gani unaweza kutoa ili ufanyiwe kazi yako, au uitoe kwa kipigo au utapeliwe kwa maneno lakin ni lazima pesa ikifika kwako itoke

Pesa zipo mifukoni kwa watu na watu wanatafuta njia ya kuzitoa kwenye mifuko ya wengine ili zije kwenye mifuko yao kuwa makini usiamini watu kirahisi
 
Biashara za mitandaoni zimeingiliwa na matapeli
 
Back
Top Bottom