Nilivyotapeliwa Tsh 500,000 na wanaoagiza bidhaa kutoka China

Nilivyotapeliwa Tsh 500,000 na wanaoagiza bidhaa kutoka China

Katika harakati zangu za kutafuta maisha.

Kuna jamaa flani akanipa mchongo wa kuagiza mzigo China akaniambia ila niwe na uvumilivu.

Kijana nikajikusanya kila kitu nikafuatilia nikaunganishwa na tapeli mmoja mwanamke alikuwa na ofisi feki Kigamboni.

Alikuwa na acount Instagram Login • Instagram anapost vitu anavyoagiza na alikuwa na group la WhatsApp nikaunganishwa nikatoa oda yangu.

Nikathibitisha muamala nikasubiri mzigo ufike sasa.

Mwezi 1 ukapita, wa 2 wa sita nikashtuka kwenye group niko peke yangu.

Instagram kashafuta picha zote akabadilisha biashara.

Namba yake ni +255 689 652 136, Jina Pendo Minja

Na wasaidizi wake ni 0699 696 598 Salma 0764 643560 Chomba

Sasa hawa mchezo wao ni kutengeneza groups za kuagiza mizigo China, then wanakusanya hela za watu halafu wanavunja group.

Bahati mbaya niko mkoani sikuweza kufatilia zaidi.

Ila nimeona magroup yao sehemu nyingine wanachangisha watu huku wakiwadanganya na picha za bidhaa.

Huu umeshakuwa mchezo wao kuweni makini na hao watu.

Nb. nina ushahidi wa kila kitu

View attachment 2128502View attachment 2128524
Kuna mwengine anapage yake insta inaitwa BEI YA KIWANDANI vitu bei rahisi nikaiona TV warranty 1yrs nikataka kumuuliza kupitia commets, comments kafunga nika muinbox hajibu, nikamtumia ujumbe whatsapp akaniambia hiyo TV ipo. Nikamuuliza utaratibu unakuwaje, akasema unatuma hela then unaletewa mzigo, nikajua huyu tapeli ukimpigia simu hajibu wala hapokei.
 
Back
Top Bottom