wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Si ajabu sana ila watoto wengi wa obay au ushuani uzungu mwingi na maadili ni zero hasa kwenye hizi lugha refer mwanangu mmoja sitaki kumtaja maana leo sipo tayari kukosana na bro.Kuna watu wakongwe ila unamkuta anafungua Uzi amemnywesha manzi ake mkojo[emoji848]