wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Si ajabu sana ila watoto wengi wa obay au ushuani uzungu mwingi na maadili ni zero hasa kwenye hizi lugha refer mwanangu mmoja sitaki kumtaja maana leo sipo tayari kukosana na bro.Kuna watu wakongwe ila unamkuta anafungua Uzi amemnywesha manzi ake mkojo[emoji848]
Ninakuamini hii sio evening tea ya pale Southern Hotel!,wenzetu hawa wamekua na kuishi na kufundishwa jinsi ya kusema sorry, thanks, please, ninaamini ukimwomba ile sincerely apology atakuelewa maana wale watoto wewe ndio baba yao, hakuna atakaye badilisha hayo, wenzetu wanathamini sana watoto, tumia sababu ya watoto, Nina hakika utasamehewaNashukuru kwa ushauri aisee ila yule mama kichwa ngumu kwa ufupi wale watoto nilishakata tamaa ya kuwaona
Ahaa tunatukanwa na vitoto humu ila sijawahi kuichukulia Jf seriousMudy white mtoto wa Sinza town. Kitambo sana. Dogo lake yupo Texas kabwaga mwaka jana. Dogo alikua na kismati mjanja kala sahani moja na wahindi.
Tupewe tu heshima zetu humu, japo tunachangia na kuandika mambo ya ovyo. Ni upande tu mwingine wa kurasa na sio kuwa serious sanaaa ukakosa kujipa raha.
Dah nmecheka sanaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii stori angeandika umughaka ingeisha baada ya miaka 10 ijayo, hapa tu kaenda kigamboni anasimulia stori mwezi wa 5 huu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna watu wakongwe ila unamkuta anafungua Uzi amemnywesha manzi ake mkojo[emoji848]
Story ni tamu sana ila uvumilivu sasa eeeh..... hivi nini kimetokea mbona alikua anatushushia mwanzo mwisho?Anawatesa tu kina baby zu wa watu Hadi wambembeleze ndo ashushe episode moja baada ya wiki
Vyuo vya kata havikuwepo enzi hizo kwa kozi ya sheria kulikuwa na Udsn,Mzumbe na Tumaini tu,Udom haikwepoPole sana,ungetulia hapa bongo na ukaenda vyuo vya kata sahv ungekuwa mtu mkubwa sana hapa bongo
Maringo yamezidi baada ya kuona watu wengi wanafatiliaStory ni tamu sana ila uvumilivu sasa eeeh..... hivi nini kimetokea mbona alikua anatushushia mwanzo mwisho?
Alafu anatokea mtu akushauri ndoa.. Dahhh!!polee MkuuYule mwanamke wa kizungu alifanya niwachukie wanawake wote,nikapata mwanamke wa kichaga baada ya kurudi nchini nae alinizingua sana,nina chuki na wanawake na sitokuja kuoa
Ningeandika kila kitu ingekuwa na episode 50Wewe jamaa bana!!?
kwa hiyo siku ya kwanza ukafika Newyork
hukufanikiwa kukutana na jamaa yako.
Ukalala kitaani.
Siku ya pili ukajichanganya kitaa kwa shughuli za hapa na pale!!??
Siku ya tatu ukazaa na mzungu watoto wawili!?
Siku ya nne wakakurudisha bongo kama illegal migrant!?.
Hii kiboko hata kama summary hii sio summary.