Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Umenena Vema! Lakini Kilio Chako Chaweza Kuwa Cha Samaki Machozi Kwenda Na Maji. Namaanisha Sidhani Kama Sauti Yako Inasikika Kwa Njia Hii. USHAURI: Pale Kijijini Kwenu Unapotoka Kapatengeneze Pawe Kama Ulaya Hata Kama Zipo Nyumba Mbili Kaboreshe Pakae Sawa Ili Usijekuaibika Utakapotembelewa Na Rafiki Zako Wa Huko Majuu Ili Ikaaibike Tz Wewe Ukawe Salama Maana Inakuuma Sana
 
Bus station za nini sasa kama hapo Mbezi. Stand tunapita tu. Ulaya wanafikiria mbali.
Hii nchi ina watu wajinga Sana kwenye madaraka yaani wanaona ni sawa kutumia mabilioni kujenga mastendi yasiyo na maana na kuacha kutumia hizo pesa kuleta huduma za msingi za watu ikiwamo kuwapimia watu viwanja waishe kwenye order

Si ajabu hakuna tofauti ya wasomi na wasio wasomi ndio maana Msukuma huwa anaponda Sana wanaojiita wasomi
 
Sasa mbona mataga huwa yanapagawa Sana na kupumbaza watu? Au ndio mentality za kimaskini kuanzia mwili hadi akili
 
[emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516] [emoji13][emoji13][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Jiwe
 
Vipi Jiji La Kigali na DSm?

Dar chafu vipi kigali. Najua utakimbilia kusema Kigali Ni ndogo ulivyo kilaza wa haja.
 
Ko mkuu huwa unapanda na mbuzi kwenye gari [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Vipi Jiji La Kigali na DSm?

Dar chafu vipi kigali. Najua utakimbilia kusema Kigali Ni ndogo ulivyo kilaza wa haja.
Kwa akili ya kawaida tu huwezi fananisha jiji lenye watu 4M na 100k kwenye development na maintanance labda uwe juha.
Kilaza wewe
 
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha
😄😃
 
Tanzania Ni Pazuri
Tanzania Ni Tajiri!!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Limbukeni akioneshwa mwezi hujidai yeye ndiye mwanzilishi wa kuona mwanga;
Wanaokutumia kwa kukulipa pesa ambazo hujui zimetokana na nini ndio waliokujaza kiburi ambacho kabla hujarejea ukimbizini utarejea kwenye jukwaa hili kuomba msamaha.
Kwa nini watu wengi hatupendi kusikia ukweli....na kwa nini tunapenda kusifiwa sifiwa tu...kwani kuna lipi la uongo alilosema mtoa mada....au ni kosa yeye kujaribu kusema na kuamsha hisia kuwa bado tunayo safari ndefu kujilinganisha na ulaya...!!, Tukubali tukatae....kufikia hata robo yao bado ....na ili tufike lazima tukubali pia pale tulipokosea..... Tubadilike.
 
Steve wa HD hatumii lugha za kuudhi bali uhoji kwa staha ingawa wakati mwingine u-provock muhojiwa kwa maswali tatanishi. Na mwisho wa kipindi kama mahojiano yameenda vyema utoa furusa kwa muhojiwa kutoa ushauri kwa jambo husika!
Unataka wote tuwe akina Stive ? Hilo hakuwezekani ndio maana Jiwe hataki ushindani na JK aliweza
 
Swali la kitoto, kama hutaweza kutuambia inahitaji miaka mingapi kufikia hatua yao!! Kuna nchi kama Malaysia, Singapore na Vietnam. Miaka ya 1970s zilikuwa kama sisi. Je leo ziko sawa na sisi???

Kazi yetu sisi kupiga mdomo tu!
Achana na hayo mataga hayana akili,yanatumia mabilioni ya fedha za walipa kodi kujenga eti stand ambazo technically ni useless kwa umma na wanaacha kutoa huduma za jamii na mipango miji.

Hao ni viazi unfortunately ndio wameshika madaraka
 
Kwa tanzania unaweza ilaumu serikali
Lakini #1 ya matatizo hayo ni sisi wenyewe
Ustarabu ni 000000

Ova
Ustaarabu kwani mtu anazaliwa nao? Ustaarabu unatengenezwa na jamii na kwenye umaskini hakuna ustaarabu
 
Wewe huna tofauti na mtu aliyepata senti kidogo anaanza Ku Google madhara ya kula ugali.
 
1.Kipofu kaona mwezi.
2.Maskini akipata,matako hulia mbwata.
 
Kwetu Mwanza. Nitapaongelea siku ingine. Lengo siyo kujionesha, ama kwamba napachukia nyumbani. TANZANIA NI KWETU. LENGO LANGU NI KWAMBA TUNATAKIWA KUJITATHMINI. KUDHANI TUMEFIKA KUNATUPOTOSHA.

Tuna viongozi wenye upeo mdogo sana! Na wengi wao , kama sio wote, hawajui kuwa hawajui.

madhara yake ni, mfano unapokuja kwenye Mipango, iwe mipango miji au mingineyo ya maendeleo - tuko hoi sana!
  • sio endelevu,
  • ni yakisiasa /kichama inayotegemea sana hulka ya raisi/mwenyekiti wa chama,
  • kama walivyo wapangaji wake, imekosa upeo na mwelekeo mpana,
  • etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…