Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

Kwa akili ya kawaida tu huwezi fananisha jiji lenye watu 4M na 100k kwenye development na maintanance labda uwe juha.
Kilaza wewe
Nilijua tu utajichanganya kwenye hicho kichaka. Kichwa kikubwa Kama embe bolibo bichi
 
Wewe nimuongo daraja la Kijazi mwezi wa 9 2020 lilikuwa bado halijaanza kutumika.
 
Nakuunga mkono kwenye hoja ya kwanza mpangilio wa nyumba /muonekano wa nyumba.

Nimebahatika kutembelea Nchi chache kama Israel, Uturuki, Marekani , Qatar nk...kiukweli ndege ikiwa inatua, unavutiwa na mpangilio mzuri wa nyumba za makazi/viwanda na muonekano wa jinsi miundombinu ya barabara na reli ilivyo.

Nyumba ziko kwenye mwonekano kama box zikizungukwa na miundombinu maridhawa.

Dar es Salaam ni jiji lenye mpangilio mbovu sijawahi ona, jiji lina nyumba scarted kama nyota uko angani.

Sijui kama tunaweza kufika uko, labda ila sioni ni kwa jinsi gani.
 
Mataga watasema unaionea wivu Tanzania yao
 
Miaka 4 tu ulitegemea kuona Tz hakuna umasikini! Kwa lipi hasa?
 
Ko mkuu huwa unapanda na mbuzi kwenye gari [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nadhani hujazunguka Tanzania. Tulioishi vijijini tunajua. Nenda Monduli huko ukajifunze. Nenda maeneo ya wafugaji uone. unapanda gari..mbuzi...kuku.. hadi bata wamo. Tanzania ni kubwa. Bahati nzuri nimeizunguka Tanzania yote. Mijini na vijijini.
 
Tatizo ni lugha uliyotumia katika kuwasilisha ujumbe wako. Japokuwa kuna ukweli wa mengi uliyosema lakini lugha uliyotumia kuwasilisha ujumbe wako ndio tatizo/kikwazo kwa wengi humu jukwaani. Wengi tunajua hayo ulliyoyasema na wala si kwa Tanzania pekee bali nchi nyingi za kiafrika zipo namna hiyo kama ilivyo Tanzania yetu. HUWEZI KWENDA KWA WAMASAI UKIWA NA KUSUDI LA KUWAFANYA WAACHE KUVAA MASHUKA KWA KUDHARAU MASHUKA YAO. UNATAKIWA UONYESHE MADHARA YA KUVAA MASHUKA NA FAIDA ZA KUTOVAA. UWAELIMISHE BADALA YA KUWATUKANA MAANA UNAWEZA KUAMBULIA SIME MOJA YA PUMBU HADI UKAZIMIA. Approach uliyoitumia siyo educative hata kidogo bali dharau. siku Nyingine tafuta namna nzuri ya kuwasilisha ujumbe wako kwa njia rafiki zaidi.
 
majiji unayataja mengi yamekuwepo kwa karne nyingi tu....na hao walitokea tulipo sisi.....bro acha ulimbukeni
 
Unatakiwa ujue ya kwamba maendeleo yana hatua zake, kwa maelezo yako wewe unahisi maendeleo ni vitu vinavyoonekana kwa juu juu tu,hujaangalia kama nchi hii ni kubwa na tulikua mbali mno. Mfano unaongelea miji ambayo ilishajengwa miaka mingi sana halafu unalinganisha na kwetu ambako kumeanza kujengeka hivi karibuni. kama kweli unaijua vizuri nchi yako jiulize unayoyaona leo ilikuwa hivi ten years back? Haya sasa maendeleo huanza na mtu mmoja mmoja, je kwenye ukoo wenu wewe umefanya nini cha kubadilisha ili ionekane na nyinyi mmepiga hatua? Acha kujivunia cha watu wengine hata sisi tunatembea usijione peke yako ndiye umesafiri, hii nchi inabadilika na mabadiliko yana hatua zake na siyo ghafla kama unavyotaka wewe, ni sawa na mwanamke anayetaka kuolewa na mwanaume mwenye uwezo wakati wanaweza tafuta wote na mambo yakaenda. Kwetu bado pazuri ndiyo maana hata hao mabilionea wa hapa kwetu hawajahama tunaishi nao tu hapa hapa, tena wao wanatembea duniani zaidi yako lakini hawajaja na mbwembwe kama hizi zako, hebu tuache kidogo.
 
Naam, Tatizo kubwa ni kutotumia vizuri utaalam kidogo tulionao kujibadili...miji mipya inakua kila siku lakini bado inajengwa bila plans...Iyo ya zamani nayo ndio kama jana. ..Sasa tulivyonamatatizo mengi serikali itawezaje kufumua mji uliokaa kushoto wakat huohuo bado barabara nyingi ni mbovu...maji hayajafika kila mahali bado kuna shida ya miundombinu ya umeme nk. ..hapo kama watahitaji kufumua jiji budget yake inabidi iwe kwa hisani ya mfuko wa mdau ambae atawekeza kwenye real estate na sera ya ujenzi ipitiwe upya sio lazima kila mtu ajenge mjini
 
Acha kutuchekesha ww
 
Azikwe ana ardhi? Huku wananunua ardhi ya kuja kuzikiwa ukifa otherwise wanatia kibiriti tu kama makaratasi.
 

Ubovu wa mipango miji ni zoezi endelevu hpa tanzania, ingekuwa inatia moyo km ujenzi mpya ungekuwa unafata kanuni za mipango miji lakini mambo ni yale yale tokea mwaka 80. Km huamini nenda chanika ukaone ujenzi holela unavyoendelea kwa kasi.
 

Kwani kigali ya rwanda imeanza kujengwa lini? Mbona nyumba zao zinafuata kanuni za mipango miji tena wakiwa na changamoto ya milima! Si hapa sehemu kubwa ya nchi yetu ni tambarare lkn ujenzi holela ndio umeshika chati

Usitetee uozo kuwa muwazi incompetent culture imeshamiri kwa watendaji wa serikali ndio maana mambo ni shaghala baghala kila kona
 
Hela ninazo! Tena si kitoto! Wala si za madafu!

wanaojua kukojoza hawabishani na ke' kibamia chako kuree!! nani anataka?
Uswazi kwani wee mzungu? Ndiyo mie mswazi niko njema!
Wee me" gani mkerewe unalilia maisha ya wanaume wenzako?
Tena bila aibu unaweka bandiko reeefu!! na wale hawana noma watakuwowa kwa mpango huu!

Mkojoze nani wakati. Weye unatamni kukojozwa? Danga langu bab kubwa halina ujinga!! Sema labda umelitamani hilodanga langu ole wako nikikukamata! Unalo utaimba!
huu uzi wako hautufai!
 
Hahaha Tabia za Uswahili Kama kawaida yenu eti Danga langu .. Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…