Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Niliwaambia wazazi wasubiri niweke mambo yakae sawa wakanigomea, sasa naona yakitimia

Waambie wazee wako uhalisia wa hali yako ili kama wataweza kukusaidia gharama wafanye hivyo au waongee na wazee upande wa pili.
Wazee wangu nilishaongea nao na tulikubaliana shughuli iwe katikati ya mwezi wa 3/4 itakapoangukia sherehe za pasaka

Kuhusu kunisaidia kiuchumi hawako vizuri, lakini pia kwa upande wangu naweza nika force mambo kisha nikaja kukwamba mbeleni kwasababu last time tulienda kwenye ultrasound na EDD(tarehe yake ya kujifungua) ni katikati mwezi wa 6.

Wazee upande wapili according tu washenga inasemekana wamesema tarehe waliyoipanga ni FIXED haiwezi badilika.
 
Okk Sawa nimekuelewa, sasa hivi ulivyoniambia nakushauri kamwambie mkwe na kikao Cha wote hivi hivi watakuelewa. Utoe tu mahali Yao ndoa mtafunga popote

Okk Sawa nimekuelewa, sasa hivi ulivyoniambia nakushauri kamwambie mkwe na kikao Cha wote hivi hivi watakuelewa. Utoe tu mahali Yao ndoa mtafunga popote
🤣 nikamtafute bamkwe tena??
 
Wazee wangu nilishaongea nao na tulikubaliana shughuli iwe katikati ya mwezi wa 3/4 itakapoangukia sherehe za pasaka

Kuhusu kunisaidia kiuchumi hawako vizuri, lakini pia kwa upande wangu naweza nika force mambo kisha nikaja kukwamba mbeleni kwasababu last time tulienda kwenye ultrasound na EDD(tarehe yake ya kujifungua) ni katikati mwezi wa 6.

Wazee upande wapili according tu washenga inasemekana wamesema tarehe waliyoipanga ni FIXED haiwezi badilika.
Uwe makini kwenye maamuzi hasa hayo ya kiuchumi maana kujifungua sio mbali na ndio gharama zitaongezeka kwahiyo ukijichanganya hapa utakwama kweli kweli. Komaa na mshenga hakuna cha Fixed hata ratiba za ndege hubadilika.
 
January ina mambo!!
af1c9dd36c24438bb3b7ebf73bc6e78d.jpg
 
Kwanini wanaku force kufanya utambulisho Hali umekubali mpk tarehe ambayo uko sawa ?

Kingine gharama za utambulisho nyumbani kwa binti hutoi wewe, labda ujue kwao Hali halisi ndo utamsapoti....

Bwashee wasikupangie kabisa aseeh...

kwangu sherehe itakuwa utambulisho tuu,, na nitamsapoti kadri nitavoweza Ila as per i wish sio kwa force

Then NDOA ya mahakamani....

Wasikupangie mnama/monoama/mwanamae
 
Najua wazee watanisimbua sana hii week ijayo.
Kama ningejua hii mbinu mapema ningefanikiwa sana "nguvu ya kukaa kimya"
Huo sio ugonjwa kwamba unajua mtu we kuwa wa mwisho kusukuma kadi utapata ushindi Wala usiwe wa kwanza
 
Uwe makini kwenye maamuzi hasa hayo ya kiuchumi maana kujifungua sio mbali na ndio gharama zitaongezeka kwahiyo ukijichanganya hapa utakwama kweli kweli. Komaa na mshenga hakuna cha Fixed hata ratiba za ndege hubadilika.
Washenga wanaongea na wazee wangu, lakini ni kama wao wapo upande wa ukweni

Na hili ndio linaloniumiza kichwa.
 
Kama ningejua hii mbinu mapema ningefanikiwa sana "nguvu ya kukaa kimya"
Huo sio ugonjwa kwamba unajua mtu we kuwa wa mwisho kusukuma kadi utapata ushindi Wala usiwe wa kwanza
I’m good at it Mkuu
Na pia sio muongeaji na naadhi ya wana familia yao ninaokaa nao huku nilipo wanalijua hilo mpaka ilishawahi fika stage wakawa wanasema nina madharau.

Naona nikikaa kimya itazidi kuwafanya waseme kwamba nina dharau.
 
Kwanini wanaku force kufanya utambulisho Hali umekubali mpk tarehe ambayo uko sawa ?

Kingine gharama za utambulisho nyumbani kwa binti hutoi wewe, labda ujue kwao Hali halisi ndo utamsapoti....

Bwashee wasikupangie kabisa aseeh...

kwangu sherehe itakuwa utambulisho tuu,, na nitamsapoti kadri nitavoweza Ila as per i wish sio kwa force

Then NDOA ya mahakamani....

Wasikupangie mnama/monoama/mwanamae
Ngachoka Meku!!

Nawaza kupiga kimya hata lamama akivuta waya niuchune kwanza mpaka tarehe waliyopanga ipite. Maana nilimuonya tokea mwanzo na hali halisi anaijua A - Z
 
Najua wazee watanisimbua sana hii week ijayo.
Sasa mkuu ndoa utaiweza kweli wewe?

Eeh manake hapo ni utambulisho tu unakutoa kamasi, yakija majukumu yenyewe sasa we si utakimbia ndoa wewe? 🤣🤣
 
This is Bravo 97 Kilo Zullu, abort the mission, I repeat, abort the mission
Mission ipi ni abort mkuu?

Binti ni mjamzito na sikutaka akajifungulie kwao.
 
Sasa mkuu ndoa utaiweza kweli wewe?

Eeh manake hapo ni utambulisho tu unakutoa kamasi, yakija majukumu yenyewe sasa we si utakimbia ndoa wewe? 🤣🤣
Kamasi lipi limenitoka?? Shida vijana mnashindwa kuwa na long plan kisha mnaangukia kuwa please watu.

Manup.
 
I’m good at it Mkuu
Na pia sio muongeaji na naadhi ya wana familia yao ninaokaa nao huku nilipo wanalijua hilo mpaka ilishawahi fika stage wakawa wanasema nina madharau.

Naona nikikaa kimya itazidi kuwafanya waseme kwamba nina dharau.
Usiogope na kimsingi watakuheshimu kama mtu unayesimamia mipango Yako na uko tayari kuongoza familia
Sasa unatakiwa kuwa baba halafu upangiwe huyo mwanamke atakuvua vyeo vyote
Natamani ningekuwa kwenye viatu vyako angalau kwa dk Moja tu
Be a man brother at least for two days yani we lay low no phone no contacts
Utaheshimika hadi mwisho
 
Back
Top Bottom