Maigizo.Nasubiria mpaka mpaka nifanye chaguzi zangu nikibahatika na karata zangu nikizicheza vizuri nina uhakika story yangu itaanza vizuri na itaishia vizuri sita poteza jambo wala kujutia
story za hivi machalii wa Arusha wanavumishiana sana...nshaziskia nyingi sana design hii zinabadilishwa badilishwa kidogo tu..Halafu Almost zote huwa mtoto lazima awe geti kali au wa kishua..Af kwenye story lazima kuwe na traits za uzungu uzungu fulani hivi utakaofanyika.😁😁😁 Ila hata mm naiona hii ni kama ya kutunga vile
Shida yako unataka kila atakaye andika uzi hapa aje kufurahisha watu,Nasubiria mpaka mpaka nifanye chaguzi zangu nikibahatika na karata zangu nikizicheza vizuri nina uhakika story yangu itaanza vizuri na itaishia vizuri sita poteza jambo wala kujutia
story za hivi machalii wa Arusha wanavumishiana sana...nshaziskia nyingi sana design hii zinabadilishwa badilishwa kidogo tu..Halafu Almost zote huwa mtoto lazima awe geti kali au wa kishua..Af kwenye story lazima kuwe na traits za uzungu uzungu fulani hivi utakaofanyika.
Machalii wa Arusha ndo Chai zao hizi wazoee.
Sina hizo tamthilia kichwani mwangu, mimi naongelea uhalisia, hivi chief unanichukuliaje [emoji23][emoji23][emoji23]Maigizo.
Usituambie story yako.
Sema maigizo ya ray na kanumba.
Ngoja nikujibu hiliShida yako unataka kila atakaye andika uzi hapa aje kufurahisha watu,
Wengine wanaandika vitu ila watu waone uhalisia ukoje, na kufundisha wengine sio kuja kukufurahishwa hapa 24/7
Wanaume unataka ufurahishwe kila saa [emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀😀😀 Eti ulilia jf idumuKuna demu humu aliniangaisha sana eti kisa anasema alikuwa na bikira! Siku nilipopewa mzigo kumbe ni soko la kariakoo...nililia kisha nikatulizia na ganja.
Ile yangu na wewe baby, nikihadithia itakua moja ya stori tamu sana, ila watu si watatuonea wivu,
Nitakua wa mwisho kusimuliaMim na wewe wapi??
[emoji125][emoji125]
Mnazingua sana vijana, story za nje ya humu sio sawa kuzileta humu.ID yake alishaiua
@financial services mimi nakuamin kwa jns ulvyo tu na michango yako humu.Duh hongera ila hadi story inaisha sijaona sehemu miliotumia kinga ama kupima magonjwa! Mlipimana kwa macho eeh! Kuwa Virgin haimaanishi mtu yuko poa kiafya. Tuweni waangalifu[emoji848]
Huyo dogo ndio yupo chuoni Njiro saiv. Hiyo 2012 anayoisemea Arusha alikuwa anaiona kwa TV.Club D haikuwepo enzi hizo. Mi mwenyeje wa Arusha mkuu. Niishe hapo au niendelee
Huyo dogo ndio yupo chuoni Njiro saiv. Hiyo 2012 anayoisemea Arusha alikuwa anaiona kwa TV.
Ahsante sana mkuu! So unamaanisha huna haja hata ya kunipima likitokea lolote?😄@financial services mimi nakuamin kwa jns ulvyo tu na michango yako humu.
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]Mnazingua sana vijana, story za nje ya humu sio sawa kuzileta humu.
Fikirini tena aisee!
Hahahaha...hakuna haja, imani huponya. [emoji3][emoji3]Ahsante sana mkuu! So unamaanisha huna haja hata ya kunipima likitokea lolote?[emoji1]
Khaa Mvumbo unapiga miganja ??😀Kuna demu humu aliniangaisha sana eti kisa anasema alikuwa na bikira! Siku nilipopewa mzigo kumbe ni soko la kariakoo...nililia kisha nikatulizia na ganja.