Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Niliwahi ku-date na mwanaJF, ilikuwa hivi, wewe je?

Nasubiria mpaka mpaka nifanye chaguzi zangu nikibahatika na karata zangu nikizicheza vizuri nina uhakika story yangu itaanza vizuri na itaishia vizuri sita poteza jambo wala kujutia
Maigizo.
Usituambie story yako.
Sema maigizo ya ray na kanumba.
 
😁😁😁 Ila hata mm naiona hii ni kama ya kutunga vile
story za hivi machalii wa Arusha wanavumishiana sana...nshaziskia nyingi sana design hii zinabadilishwa badilishwa kidogo tu..Halafu Almost zote huwa mtoto lazima awe geti kali au wa kishua..Af kwenye story lazima kuwe na traits za uzungu uzungu fulani hivi utakaofanyika.
Machalii wa Arusha ndo Chai zao hizi wazoee.
 
Nasubiria mpaka mpaka nifanye chaguzi zangu nikibahatika na karata zangu nikizicheza vizuri nina uhakika story yangu itaanza vizuri na itaishia vizuri sita poteza jambo wala kujutia
Shida yako unataka kila atakaye andika uzi hapa aje kufurahisha watu,
Wengine wanaandika vitu ila watu waone uhalisia ukoje, na kufundisha wengine sio kuja kukufurahishwa hapa 24/7

Wanaume unataka ufurahishwe kila saa 😂😂😂
 
story za hivi machalii wa Arusha wanavumishiana sana...nshaziskia nyingi sana design hii zinabadilishwa badilishwa kidogo tu..Halafu Almost zote huwa mtoto lazima awe geti kali au wa kishua..Af kwenye story lazima kuwe na traits za uzungu uzungu fulani hivi utakaofanyika.
Machalii wa Arusha ndo Chai zao hizi wazoee.

😁😁😁 hii stori ni kutunyegesha tu haina ukweli wowote
 
Maigizo.
Usituambie story yako.
Sema maigizo ya ray na kanumba.
Sina hizo tamthilia kichwani mwangu, mimi naongelea uhalisia, hivi chief unanichukuliaje [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida yako unataka kila atakaye andika uzi hapa aje kufurahisha watu,
Wengine wanaandika vitu ila watu waone uhalisia ukoje, na kufundisha wengine sio kuja kukufurahishwa hapa 24/7

Wanaume unataka ufurahishwe kila saa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikujibu hili

maana unatia aibu huna staha, na mwanaume asiejiheshimu sijui huwa namuonaje,
Ni hivi kama watu mlikutana toka hapa jf halafu baadae ukaja muelezea huyo mtu kwa ubaya basi muhusika atajisikiaje vibaya kama mdau mmoja alivyosema amekutana na mdada mbaya , mbona hutumii akili au mpo hapa kuumizana,

Halafu swala sio kufurahishana swala ni kulindiana heshima na thamani mtu aliyekupa mpaka mkaonana, sasa ndugu umekomalia kufurahishwa sijui unataka nini sifanyi huo ujinga ,

Angalau hata mleta mada ameamua hata kutumia ID ingine ili muhusika asijue, tho experience yake ilikua nzuri kwa upande wangu nilijua wakaja fika mbali mpaka uchumba hayo ndiyo yanafurahisha, watu wakutane ila sio kwa lengo la kudharauliana ni mambo ya immaturity, halafu acha ujinga unaandika mambo kikorofi sana usinifikishe huko
 
Kuna demu humu aliniangaisha sana eti kisa anasema alikuwa na bikira! Siku nilipopewa mzigo kumbe ni soko la kariakoo...nililia kisha nikatulizia na ganja.
😀😀😀😀😀 Eti ulilia jf idumu
 
Back
Top Bottom