sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Shigongo utafsiri toka lugha nyingineuna kipaji cha kutunga kijana...nikupe namba ya Shigongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shigongo utafsiri toka lugha nyingineuna kipaji cha kutunga kijana...nikupe namba ya Shigongo?
Upo na mke wako bado unampenda Isabella[emoji57], kwanini hukumuoa? Hana chura?Isabella i will always love you![emoji868]
.... Daaah xabuni tena ,,,,,mi Nlijua unanipa mxaada😲😲😲Wewe kawaida yako...Wai chap Bafuni kasabuni nshakuwekea..
Ndio maisha yalivyo mambo mengi huanza vizuri huishia na changamoto kibao.Yani story huwa zinaanzaga vizuri sijui kwanini zinamalizikaga kwa hudhuni [emoji849]
Hakika mkuuNdio maisha yalivyo mambo mengi huanza vizuri huishia na changamoto kibao.
Sema pia akisoma hapa ataumia kichizi..Ilianza hivi,
kulikuwa na mada mezani tukawa tunachangia, ile mada siikumbuki ila ilikuwa na mabishano mengi sana baina ya wachangiaji, huyu binti akakomaa kubishana na mimi, yaani alikuwa mjuaji kinoma kina sentensi mbili full mamisamiati ya kizungu, mzee baba nikaona mtoto ataniabisha, nikawa mpole maana ni kama tulikuwa tunaelekea kutukanana na mimi huwa sijibizani kwa matusi au kejeli so nikapotea kwenye hilo jukwaa.
Baada ya mda akaja PM kuniomba samahani maana aliona kabisa kwamba kanikosea, mi kiroho safi nikamsamehe maisha yakaendelea, mazoea ya kuja rum "PM" yakawa mengi na tunaendea kuchati kama marafiki tu. ikafika hatua tuonane, nikamkaribisha LA COMIDA BAR ipo maeneo ya Temboni binti akaja kichwni nlijua ni bonge moja ya Pisi kali kumbe hamna kitu dada yupo late 30s hana mvuto kabisa tofauti na imaginations zangu, tukala na kunywa then tukaachana. kila mmoja na mishe zake tangu siku hiyo sijauona tena humu jukwaani nadhani kabadilisha ID
Sasa unataka story iishe vizuri ili wewe ufurahi.Yani story huwa zinaanzaga vizuri sijui kwanini zinamalizikaga kwa hudhuni [emoji849]
Ilianza hivi,
kulikuwa na mada mezani tukawa tunachangia, ile mada siikumbuki ila ilikuwa na mabishano mengi sana baina ya wachangiaji, huyu binti akakomaa kubishana na mimi, yaani alikuwa mjuaji kinoma kina sentensi mbili full mamisamiati ya kizungu, mzee baba nikaona mtoto ataniabisha, nikawa mpole maana ni kama tulikuwa tunaelekea kutukanana na mimi huwa sijibizani kwa matusi au kejeli so nikapotea kwenye hilo jukwaa.
Baada ya mda akaja PM kuniomba samahani maana aliona kabisa kwamba kanikosea, mi kiroho safi nikamsamehe maisha yakaendelea, mazoea ya kuja rum "PM" yakawa mengi na tunaendea kuchati kama marafiki tu. ikafika hatua tuonane, nikamkaribisha LA COMIDA BAR ipo maeneo ya Temboni binti akaja kichwni nlijua ni bonge moja ya Pisi kali kumbe hamna kitu dada yupo late 30s hana mvuto kabisa tofauti na imaginations zangu, tukala na kunywa then tukaachana. kila mmoja na mishe zake tangu siku hiyo sijauona tena humu jukwaani nadhani kabadilisha ID
ID yake alishaiuaSema pia akisoma hapa ataumia kichizi..
Kama vipi futa tu comment mzee.
We kajamaa una nini lakini, ni hivi kila mtu ana interest zake katika story anayosema na expectations zake kwenye hiyo story tangu inavyoaanza na ni mawazo yanapelekea kuitazamia story itaisha vipi, eboo hebu tulia kwanza kijana acha wengeSasa unataka story iishe vizuri ili wewe ufurahi.
Kwani yeye kaandika maigizo hapa, kwamba ahakikishe anawafurahisha wasomaji ??
una kipaji cha kutunga kijana...nikupe namba ya Shigongo?
Tumejua interest zako unataka story ziishe vizuri hupendi story zianze vizuri na kuisha vibaya.We kajamaa una nini lakini, ni hivi kila mtu ana interest zake katika story anayosema na expectations zake kwenye hiyo story tangu inavyoaanza na ni mawazo yanapelekea kuitazamia story itaisha vipi, eboo hebu tulia kwanza kijana acha wenge
Nasubiria mpaka mpaka nifanye chaguzi zangu nikibahatika na karata zangu nikizicheza vizuri nina uhakika story yangu itaanza vizuri na itaishia vizuri sita poteza jambo wala kujutiaTumejua interest zako unataka story ziishe vizuri hupendi story zianze vizuri na kuisha vibaya.
[emoji122][emoji122]
Tunasubir picha la maisha yako, weka bandiko LAKO.