Niliwahi kuelezea nguvu ya Kanisa Katoliki katika Siasa za Tanzania nikadhihakiwa, sasa taratibu nadhani tutaelewana tu!

Bado sijakuelewa

Mpango ni mkatoliki? Nimesikia ni Anglican..

Au Mpango leo leo kaongea akiwa kanisa la kikatoliki??

Umeweka rekodi sawa, pia Kaka yake ni mstaafu Dr. Gerald Eliya Mpango, alikuwa Bishop of Western Tanganyika Kanisa la Anglican.
 
Wewe siyo Mkatoliki ...
Mkatoliki huwa hatambi kihivyo....huwezi kumkuta Mkatoliki akitamba hadharani eti sisi wakatoliki tuna nguvu Mara sijui sisi wasomi sijui Nini ...hakuna kitu Kama hicho...

Catholic and being Genius goes together don't you know that you Dimwit?
 

Absolutely Rubbish.
 

Ni Ukatoliki wangu wa 100% na Elimu kubwa niliyopewa na Wakatoliki ndiyo inanipa Kiburi hiki na Jeuri hii ya kutamba kuwa na IQ Kubwa na Takatifu.
 
Ni Ukatoliki wangu wa 100% na Elimu kubwa niliyopewa na Wakatoliki ndiyo inanipa Kiburi hiki na Jeuri hii ya kutamba kuwa na IQ Kubwa na Takatifu.
Je, umewahi ku-test wapi IQ yako ukajijua huko kwenye notch hipi, labda tuanzie hapo?
 
Mkuu malcolm Lumumba heshima kwako..

Natamani elimu uliyonayo tuisambaze Kwa watoto wengi humu na Tanzania nzima..

Umesahau kutaja madhambi ya wakatoliki
Kwa wapigania Uhuru wa Tanganyika..

Yako mengi Sana ikiwemo Ku influence mfumo wa elimu uliowasafisha...

Hata wakatoliki wengi kama kina Msekwa hawakuwepo kabisa katika harakati za kudai uhuru...Mwalimu alishirikiana na kina Kawawa na wengine but Uhuru ulivyopatikana Tu wakawa frontline ku influence
 
Mama naye kashaenda Vatican kuapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…