Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unastahili mkuki moyoni!Labda kwenda huko Vatican kufata nguvu za shetani maana tushajua hapo Vatican ndiyo kitovu cha wakina Bilgates
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italy?Mkuu kanisa lina sura nyingi sana sana
Hao watu wanatumia gharama Kubwa sana kusomesha watu na hata kuwatisha kwa misaada
Ahaaa tatizo hamsomi
Unajua kwanini Vatican ni nchi ndani ya Italia?
Dr Philip Mpango ni mkatolikiMsaidizi wa rais wa sasa ni from Angrican church, sijui unasemaje katika hili
Ni AnglicanBado sijakuelewa
Mpango ni mkatoliki? Nimesikia ni Anglican..
Au Mpango leo leo kaongea akiwa kanisa la kikatoliki??
Maybe alibadili coz mama yake mpaka ndugu zake tulikuwa tukisali nao Angrican, na si hivyo tu mdogo wake anayemfuata alikuwa askofu wa kanisa la agricani huku huku kigoma, belive meDr Philip Mpango ni mkatoliki
Basi tukubatine tu kwamba wazungu sio watu wazuriMkuu JK alipigwa Nyaraka na Pengo mpaka kuonekana Jamaa bwege
Huyu Huyu Pengo hajawahi mpiga nyaraka JPM
Kanisa katoliki lina sura nyingi sana sana
Usilichukulie poa, Hao ndio waliosababisha ukoloni Africa na unyonyaji
Walijenga makanisa sehemu zenye madini na kuwagawia wazawa nguo
Umewahi fika St Peters Basilica Vatican?
Pale kuna siri na historia nzito
Unamfaham Michael Angelo?
Ukifika Vatican na kutembelea makumbusho utakaa kimya
Hii Dunia kuna watu Walikuwa na akili sana sana
Unamfaham Raphael? Nenda Vatican
Watu walichora na kuchonga kwa 3D
Unajua waliosababisha kiswahili kikue?
Wakati huo Galileo Galilei Mwana sayansi alisema dunia Duara, Kanisa likisubiri Dunia ni tambarale
Unafahamu Galileo alipata nini?
Hawa Mapadri wa kizungu na wageni ni hatari kuliko unavyowaza
Basi mapandikizi wa CIA, Mossad wengi ni Mapadri tena weusi kama mkaa
Mapadre wengi weusi ni pandikizi wa mabeberu
Nashangaa wanasiasa wanatoa hotuba kanisani bila kuogopa Kuw ndio eneo hatari kuliko sokoni
Roho mbaya kivipi?Hafu viingozi wa Hilo dhehebu la Vatican huwa na roho mbaya licha ya kumtaja kristo na Mungu kila saa, Bora hata ya hao waislamu
Unitag na Mimi Ila uwe wa kiswahiliWatu uliowataja wamenishtua kidogo, upo vizuri mkuu. Kwasababu ni muda mrefu natamani kuandika thread ya makala ya "Historia Ya Catholic Church Na Muasisi Wake Mkuu". Ila hofu yangu kubwa watu watatoana meno na macho humu JF kwa malumbano na watajikita sana kwenye ubaguzi wa kidini bila kutoa hoja za kisomi na mashiko.
When the right time comes, ntaandika na nitaku tag uchangie hoja mkuu.
Asilimia kubwa upojikita ukatoliki na umaskini huwa ni mkubwa mno fanya research!!Hafu viingozi wa Hilo dhehebu la Vatican huwa na roho mbaya licha ya kumtaja kristo na Mungu kila saa, Bora hata ya hao waislamu