mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
And delivered !!Msg sent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And delivered !!Msg sent
HakikaSerikali ni tajiri viongozi wanaishi maisha ya anasa lakini Raia wake ni maskini wa kutupwa.
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa hii ni kawaida !!Wewe ndio maskini.
Duh !! Mwanangu !!Mwigulu juzi amesema yeye ndo atakuwa waziri wa fedha mpaka mwaka 2030...mtake msitake! Yaani hakuna kitu mnaweza fanya
Halafu on top wanawajazia makodì na matozo kisha wanajiita serikali sikivu! Sikivu wkt wanyonge wanapiga kelele wao hawasikii!Serikali ni tajiri viongozi wanaishi maisha ya anasa lakini Raia wake ni maskini wa kutupwa.
Ccm kwa ujumla inatakiwa itolewe madarakani🤒Alafu eti wengine wanamwita Rais mpenda haki hapendi dhuluma [emoji23][emoji23][emoji23]
Kitendo Cha kumnyima pesa mfanyakaz wa serikali haya ndiyo maumivu yakeHabari Watanzania wenzangu,
Kuna jambo ambalo naamini viongozi wetu huwa wanalipuuza wakifika kwenye viti hivyo.
Japo Tanzania ina utajiri mwingi sana, lakini Watanzania asilimia kubwa ni fukara sana.
Hii ni kuanzia kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, viongozi wa Taasisi mbalimbali, Majaji, Bunge na Wabunge, Wawakilishi, Waziri Mkuu, Makamu na Rais; wote hawahisi kabisa magumu wanayopitia wananchi wengi waliopo ktk umaskini wa kutupwa.
Ukitaka kuthibitisha hili, angalia sera mbalimbali zinazotungwa na serikali. Haziakisi kabisa hali ya maisha ya Watanzania wengi!
SWALI: Shida ni nini?
Tuna sera za kijinga sana, tuna maamuzi mengi ya kipumbavu kweli kweli. Nchi imejaa mikorogano tu.
Ukiulizwa hii sera alitungiwa Mtanzania, hadi unahisi uchungu hadi moyo unataka kuchomoka.
Hawa akina Mwigulu, na Rais wetu Mh. Samia wana shida gani hasa?! Au shida ni vile ving'ora, au saluti wanazopigiwa, au misafara mikubwa mikubwa ile, Mbona hawaelewi kabisa uhalisia wa maisha ya WaTz wengi!
Niliwahi kusafiri hadi Bukombe, Geita huko. Nilimkuta Mwananchi mmoja, ameugua kweli, lakini kwa sababu alikuwa na Sh. 2000 tu. Hiyo hiyo anaitegemea kula, kuhudumia watoto, na kila kitu. Yule ndugu alichukua uamuzi wa kwenda kununua paracetamol (dawa za maumivu) za sh. 400/- ili ameze japo atulize maumivu ya mwili.
Watanzania wa aina hii wapo chungu mzima nchi hii. Mtu anaumwa, hana hela ya kumuona daktari, hana fedha ya vipimo, na wala uwezo wa kununua dawa. Anaamua kununua tu dawa za maumivu.
Si kwamba hapendi kutibiwa, la hasha, kipato kinakataa.
Nikuulize Mh. Rais Samia, huyu Mtanzania akitumiwa na ndugu yake sh 25,000/- aende hospital, mtumaji anakatwa tozo, na yeye akienda kutoa ana tozo. Rais wangu na wewe Dr. Mwigulu mnatengeneza Uchumi wa watu gani? Huu sio wa WaTz, labda mna watu wenu wengine mnaowawaza na kuwahudumia.
Ni wakati sasa Mh. Rais Samia ukate matumizi yote yasiyo ya lazima ndani ya serikali yako.
Haiwezekani Waziri, Naibu Waziri, Katibu mkuu, Wakuu wa Taasisi, Mamlaka mbalimbali, mkuu wa mkoa, n.k, atembelee gari ya thamani ya Tsh. 400 million, huku kuna Kijiji kizima hakina Zahanati, Kuna shule haina choo, kuna shule hawana madawati. Halafu unaweka Tozo kwenye sh. Elfu 10, unajiita Mzalendo, na tai ya rangi ya Tanzania unavaa. UNAFIKI!
KATA MATUMIZI YOTE YASIYO YA LAZIMA, KABLA HATUJAKWAMA KAMA TAIFA.
Watanzania ni fukara sana. Isipokuingia akilini hii, 2025 watakulazimisha upishe mwingine.
Ko mkuu unadhani bei ya mchele imepandishwa na tozo? Bas kama taifa tuna safari ndefu kufikaKama siyo tozo kwanini bei ya bidhaa na huduma zimepanda mara 2?
Mkuu nikisema upande mwingine hizi tozo tunazizingizia sana but ukweli kama tunataka kulikomboa taifa inabidi tuchek how we can save big money for our people na sio hizo petty monies
Katika hio transaction hapo tozo hazifiki buku but kama serikali ikiwekeza heavily kwenye kilimo na ufuguaji hao waTz wengi zaidi wataweza tengeneza pesa kubwa zaidi ya hio
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kweli taifa lina safari ndefu sana kwa kizazi hiki cha KoKo mkuu unadhani bei ya mchele imepandishwa na tozo? Bas kama taifa tuna safari ndefu kufika
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Umezungumza kwa hisia. Kuhusu hoja ya umasikini vijijini; tunakubaliana kimsingi ni tatizo kubwa. Rural poverty ni tatizo kubwa si tu Tanzania bali ktk devoloping countries, hasa za Afrika zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara.Habari Watanzania wenzangu,
Kuna jambo ambalo naamini viongozi wetu huwa wanalipuuza wakifika kwenye viti hivyo.
Japo Tanzania ina utajiri mwingi sana, lakini Watanzania asilimia kubwa ni fukara sana.
Hii ni kuanzia kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, viongozi wa Taasisi mbalimbali, Majaji, Bunge na Wabunge, Wawakilishi, Waziri Mkuu, Makamu na Rais; wote hawahisi kabisa magumu wanayopitia wananchi wengi waliopo ktk umaskini wa kutupwa.
Ukitaka kuthibitisha hili, angalia sera mbalimbali zinazotungwa na serikali. Haziakisi kabisa hali ya maisha ya Watanzania wengi!
SWALI: Shida ni nini?
Tuna sera za kijinga sana, tuna maamuzi mengi ya kipumbavu kweli kweli. Nchi imejaa mikorogano tu.
Ukiulizwa hii sera alitungiwa Mtanzania, hadi unahisi uchungu hadi moyo unataka kuchomoka.
Hawa akina Mwigulu, na Rais wetu Mh. Samia wana shida gani hasa?! Au shida ni vile ving'ora, au saluti wanazopigiwa, au misafara mikubwa mikubwa ile, Mbona hawaelewi kabisa uhalisia wa maisha ya WaTz wengi!
Niliwahi kusafiri hadi Bukombe, Geita huko. Nilimkuta Mwananchi mmoja, ameugua kweli, lakini kwa sababu alikuwa na Sh. 2000 tu. Hiyo hiyo anaitegemea kula, kuhudumia watoto, na kila kitu. Yule ndugu alichukua uamuzi wa kwenda kununua paracetamol (dawa za maumivu) za sh. 400/- ili ameze japo atulize maumivu ya mwili.
Watanzania wa aina hii wapo chungu mzima nchi hii. Mtu anaumwa, hana hela ya kumuona daktari, hana fedha ya vipimo, na wala uwezo wa kununua dawa. Anaamua kununua tu dawa za maumivu.
Si kwamba hapendi kutibiwa, la hasha, kipato kinakataa.
Nikuulize Mh. Rais Samia, huyu Mtanzania akitumiwa na ndugu yake sh 25,000/- aende hospital, mtumaji anakatwa tozo, na yeye akienda kutoa ana tozo. Rais wangu na wewe Dr. Mwigulu mnatengeneza Uchumi wa watu gani? Huu sio wa WaTz, labda mna watu wenu wengine mnaowawaza na kuwahudumia.
Ni wakati sasa Mh. Rais Samia ukate matumizi yote yasiyo ya lazima ndani ya serikali yako.
Haiwezekani Waziri, Naibu Waziri, Katibu mkuu, Wakuu wa Taasisi, Mamlaka mbalimbali, mkuu wa mkoa, n.k, atembelee gari ya thamani ya Tsh. 400 million, huku kuna Kijiji kizima hakina Zahanati, Kuna shule haina choo, kuna shule hawana madawati. Halafu unaweka Tozo kwenye sh. Elfu 10, unajiita Mzalendo, na tai ya rangi ya Tanzania unavaa. UNAFIKI!
KATA MATUMIZI YOTE YASIYO YA LAZIMA, KABLA HATUJAKWAMA KAMA TAIFA.
Watanzania ni fukara sana. Isipokuingia akilini hii, 2025 watakulazimisha upishe mwingine.
Kweli kbs. Lkn ktk serikali ukiwa na mamwinglu, msukma na yule mhindi, hakna ubunifu, wakisoma walichosema wengne, hata bila kupigia mahesabu wanakileta kwetu. Wamekosa ubunifu, wamelewa pesaKuna nchi serikali inasupport wananchi wake sana na zinaendelea sana tucheki hata Zambia na Rwanda wako mbali sana. Zambia ukubwa unakaribiana na TZ na bado ni locked country plus ina population ndogo sana. Why watushinde hakuna mwenye madini,mbuga za wanyama,bahari kama sisi ila sasa maisha yetu maigizo