Niliwahi kusema hapa propaganda za viongozi wa Simba kuna siku wataumbuka na sasa arobaini zao zimefika!

Niliwahi kusema hapa propaganda za viongozi wa Simba kuna siku wataumbuka na sasa arobaini zao zimefika!

Jitahidi kuongezea H panapotakiwa. Sio iyo ni hiyo. Sio ilo ni hilo. Sio ata ni hata. Sio Niliwai ni niliwahi. Sio awajalipwa andika hawajalipwa. Sio alafu ni halafu. Sio awajapewa ni hawajapewa.
Sio awa andika hawa. Sio ivyo ni hivyo. Sio ayo ni hayo. Sio uwezi ni huwezi. Sio aitaki ni haitaki. Peke yake hivi umeiandika vizuri.

Mengine yote kifupi simba wanaiga yote kutoka ccm.
 
Jitahidi kuongezea H panapotakiwa. Sio iyo ni hiyo. Sio ilo ni hilo. Sio ata ni hata. Sio Niliwai ni niliwahi. Sio awajalipwa andika hawajalipwa. Sio alafu ni halafu. Sio awajapewa ni hawajapewa.
Sio awa andika hawa. Sio ivyo ni hivyo. Sio ayo ni hayo. Sio uwezi ni huwezi. Sio aitaki ni haitaki. Peke yake hivi umeiandika vizuri.

Mengine yote kifupi simba wanaiga yote kutoka ccm.
Wanaigaje?
 
Wanaigaje?
ccm ni propaganda tu,kutupiga fix. Maendeleo hakuna,ila kila ikitoka report ya CAG viongozi wamejipigia,lakini hakuna wa kumwajibisha mwenzio,wanaishia tu kutupiga propaganda,linapita. Ukija mwakani mwendo ni huo huo.

Yupo kiongozi mmoja aliwahi kutulazimisha tuwakubali wawekezaji wa gesi mtwala,akaenda mbali ikianza kuchimbwa Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani. Na karibia mtanzania atamiliki coaster. Imeanza kuchimbwa,badala yake mtanzania anaongezewa kodi ya tozo,eti ni uzarendo changia nchi. Kwa nini zisifidie za gesi. Hatusikii tena kuhusu gesi. Ni bora mara 100 ingebaki vile ilivyokuwa. Ndio hao ccm na simba. Wapige fix ipite watasahau kesho
 
Jitahidi kuongezea H panapotakiwa. Sio iyo ni hiyo. Sio ilo ni hilo. Sio ata ni hata. Sio Niliwai ni niliwahi. Sio awajalipwa andika hawajalipwa. Sio alafu ni halafu. Sio awajapewa ni hawajapewa.
Sio awa andika hawa. Sio ivyo ni hivyo. Sio ayo ni hayo. Sio uwezi ni huwezi. Sio aitaki ni haitaki. Peke yake hivi umeiandika vizuri.

Mengine yote kifupi simba wanaiga yote kutoka ccm.
Mgonjwa umemnyonga kabisa😅😅
 
ccm ni propaganda tu,kutupiga fix. Maendeleo hakuna,ila kila ikitoka report ya CAG viongozi wamejipigia,lakini hakuna wa kumwajibisha mwenzio,wanaishia tu kutupiga propaganda,linapita. Ukija mwakani mwendo ni huo huo.

Yupo kiongozi mmoja aliwahi kutulazimisha tuwakubali wawekezaji wa gesi mtwala,akaenda mbali ikianza kuchimbwa Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani. Na karibia mtanzania atamiliki coaster. Imeanza kuchimbwa,badala yake mtanzania anaongezewa kodi ya tozo,eti ni uzarendo changia nchi. Kwa nini zisifidie za gesi. Hatusikii tena kuhusu gesi. Ni bora mara 100 ingebaki vile ilivyokuwa. Ndio hao ccm na simba. Wapige fix ipite watasahau kesho
Aahaaaaaaa

Kazi kweli kweli
 
1. Bajeti ya simba inabadilika km teuzi za mama abdul
Mwanzo waliweka bajeti Tzs billion 12, baada ya yanga kutangaza bajeti ya Tzs billion 20, simba wakabadili bajeti na kuwa Tzs billion 25 ilimradi waonekane wamewazidi yanga.

2. Na mkataba wa m-bet mwanzo ulifichwa baada ya yanga na sportpesa kutanganza billion 15, simba nao wakaongeza sifuri ili ionekane wameizidi yanga.

3. Manzoki saga

Mangungu (51%) na MO (49%) ni wanakwama pakubwa
kwahiyo kwenye 15 wakaongeza 0 ikawa ngapi mkuu hivi shule ulienda au ulikimbia umande
 
Halafu wanasimba Kama hamjui Hawa Yanga ndo wanaleta mpasuko huko kwa mashabiki kwa kuwaliisha matango pori.
Kocha amekuja analipwa Mshahara mkubwa na ni kweli mzuri saana kutokana na profile Ila wanayanga na wachambuzi wameanza mo mbabaishaji Mara wachezaji Mara goli tano.

Sasa kwanini Simba wanaingia kwenye mtego wa yanga wa propaganda za jangwani
???
 
Hizi timu za yanga na simba ni za serikali na zinatumika kisiasa.
Viongozi wa hizi timu wanazitumia kupatia umaarufu wa kisiasa hivyo kama akili yako iko timamu hutapata shida kunielewa.
Kuongoza simba na yanga ni kazi ngumu sana rejea issue ya mo na kigwangala, Feisal na mama/ hersi
 
Back
Top Bottom