Acha maswali ya kipuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maswali ya kipuuzi
Siyo ya kipuuzi,mdau hapo juu kasema kocha analipwa mil 88, mwingine akajibu halipwi hizo hela analipwa $35,000. Mi nimeuliza kwani dola 35,000 ni sh ngapi nikiwa na maana anasemaje halipwi mil 88 analipwa dola 35,000 wakati kitu ni hicho hichoAcha maswali ya kipuuzi
Maana yake hapo anakula na bench lake ya ufundi..ni sawa hiyo hela..Analipwa dola 35000 kwa mujibu wa gazeti la mwanasport
BunjuWashabiki na wanachama wa timu za kariakoo wote zumbukuku akuna wa kumcheka mwezake.
Miaka 60 bila uwanja. Hivi niulize mazoezi mnafanyiaga wapi.
Millan wana Millanero na Internazionale wana Angelo Moratti.Unaitwaje uwanja wao?
Wanaigaje?Jitahidi kuongezea H panapotakiwa. Sio iyo ni hiyo. Sio ilo ni hilo. Sio ata ni hata. Sio Niliwai ni niliwahi. Sio awajalipwa andika hawajalipwa. Sio alafu ni halafu. Sio awajapewa ni hawajapewa.
Sio awa andika hawa. Sio ivyo ni hivyo. Sio ayo ni hayo. Sio uwezi ni huwezi. Sio aitaki ni haitaki. Peke yake hivi umeiandika vizuri.
Mengine yote kifupi simba wanaiga yote kutoka ccm.
Tuambie wewe inalipa Tsh ngapi? Sisi tunafahamu ni dola 35k.Kuamini Simba sport club inao uwezo kama taasisi, Kumlipa kocha milioni 88 ni zaidi ya u mbumbumbu.
VInachua mashabiki wangapi hivyo viwanja?Millan wana Millanero na Internazionale wana Angelo Moratti.
ccm ni propaganda tu,kutupiga fix. Maendeleo hakuna,ila kila ikitoka report ya CAG viongozi wamejipigia,lakini hakuna wa kumwajibisha mwenzio,wanaishia tu kutupiga propaganda,linapita. Ukija mwakani mwendo ni huo huo.Wanaigaje?
Mgonjwa umemnyonga kabisa😅😅Jitahidi kuongezea H panapotakiwa. Sio iyo ni hiyo. Sio ilo ni hilo. Sio ata ni hata. Sio Niliwai ni niliwahi. Sio awajalipwa andika hawajalipwa. Sio alafu ni halafu. Sio awajapewa ni hawajapewa.
Sio awa andika hawa. Sio ivyo ni hivyo. Sio ayo ni hayo. Sio uwezi ni huwezi. Sio aitaki ni haitaki. Peke yake hivi umeiandika vizuri.
Mengine yote kifupi simba wanaiga yote kutoka ccm.
Aahaaaaaaaccm ni propaganda tu,kutupiga fix. Maendeleo hakuna,ila kila ikitoka report ya CAG viongozi wamejipigia,lakini hakuna wa kumwajibisha mwenzio,wanaishia tu kutupiga propaganda,linapita. Ukija mwakani mwendo ni huo huo.
Yupo kiongozi mmoja aliwahi kutulazimisha tuwakubali wawekezaji wa gesi mtwala,akaenda mbali ikianza kuchimbwa Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani. Na karibia mtanzania atamiliki coaster. Imeanza kuchimbwa,badala yake mtanzania anaongezewa kodi ya tozo,eti ni uzarendo changia nchi. Kwa nini zisifidie za gesi. Hatusikii tena kuhusu gesi. Ni bora mara 100 ingebaki vile ilivyokuwa. Ndio hao ccm na simba. Wapige fix ipite watasahau kesho
kwahiyo kwenye 15 wakaongeza 0 ikawa ngapi mkuu hivi shule ulienda au ulikimbia umande1. Bajeti ya simba inabadilika km teuzi za mama abdul
Mwanzo waliweka bajeti Tzs billion 12, baada ya yanga kutangaza bajeti ya Tzs billion 20, simba wakabadili bajeti na kuwa Tzs billion 25 ilimradi waonekane wamewazidi yanga.
2. Na mkataba wa m-bet mwanzo ulifichwa baada ya yanga na sportpesa kutanganza billion 15, simba nao wakaongeza sifuri ili ionekane wameizidi yanga.
3. Manzoki saga
Mangungu (51%) na MO (49%) ni wanakwama pakubwa
Ahahahaaaaaa....!Mgonjwa umemnyonga kabisa😅😅
Nmeenda bosskwahiyo kwenye 15 wakaongeza 0 ikawa ngapi mkuu hivi shule ulienda au ulikimbia umande
sawaa mkuuNmeenda boss
Lete chanzo,mwenzio kataja Mwanaspoti lakini wewe chanzo chako utasema trust me!Analipwa milioni 49 kwa mwezi leta hoja nyingine tukufahamishe pia, mmezoea kulishwa matango pori!